Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ninawataarifu vijana waliokosa vyuo katika awamu za nyuma kuwa NACTE wamefungua awamu nyingine ya kutuma maombi.
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wana ndugu zangu Matumian yangu ni wazima wa afya Tele na mna Endelea vema katika kusukuma gurudum la maisha hasa katika wakati huu wa Tanzania Mpya ya viwanda Mimi nikija a ambae...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa kuwa nyinyi ndio viongozi ambao mmebaki angalau mkisema mnasikika, basi tunaomba muongelee suala la mikopo ya elimu ya juu. Mpaka sasa haijulikani hatima ya wanafunzi wanaotakiwa kupata...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nilijitahidi sana Diploma nikapata ka GPA kangu kidogo kazuri. Ila wazazi wakulima wa kubangaiza sana. Sasa ndoto ni kuwa daktari lakini huwezi kuamini nimekosa mkopo. Sasa sina namna na...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Tarehe 4 Novemba ndipo muhula unaanza na hata hivyo inasikitisha kuona kwamba hamjatoa matokeo. Na kibaya zaidi hamtoi taarifa yoyote. Napenda kuuliza sasa ni lini mtatoa matokeo hayo? Kuna...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Binafsi sikuwa na maandalizi mengine yoyote ya kupata tuition fees nilikuwa nategemea Bodi ya Mikopo tu. Nimejitahidi kutafuta direct cost nimepata kwa tabu sana. Sasa Bodi ya Mikopo wametoa...
5 Reactions
86 Replies
11K Views
Wakuu heshima yenu, Hivi iwapo uliomba Diploma kwa kuhofia ushindani na ukachaguliwa, je ukifika chuo unaweza kubadili kwenda Degree? Kama inawezekana unafuata njia/ taratibu zipi? Vigezo vyote...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa yeyote aliyechaguliwa na anaenda College of African Wildlife Mweka naomba anicheki hapa tuyajenge masuala muhimu maana hata mimi naenda pale. Hata kama upo chuo tayari mwaka wa kwanza au wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nawasalimu wakubwa kwa wadogo. Naandika kwa uchungu sana wakuu, kwanini maisha yamekuwa mateso kwangu hivi au nina mikosi na laana? Mimi ni kijana wa miaka 22, jinsia Me. Kitu ambacho...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani kwa anaejua labda, kama kuna Third Batch ya mikopo kutoka HESLB maana naona hakuna taarifa yoyote. Kama unajua lolote naomba tujuzane inatoka lini?
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Hivi wanachuo wanaosoma Aircraft Maintenance Engineering NIT huwa wanapata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo HESLB?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habarini wadau poleni na majukumu ya kitaifa na kifamilia. Kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza,lengo la uzi huu ni kutengeneza mazingira rafiki kwa wale wote waliochaguliwa kujiunga na...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
[emoji1318] Wakuu, Nasema hivi: Form 4 wote Nchi hii wavune walichokipanda. Kuwatakia wote wafaulu vizuri wakati jitihada zilitofautiana ni unyonyaji!!! Nasisitiza, kila mmoja avune...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani wakuu, Mimi ni mwanafunzi wa Clinical Medicine nipo mwaka wa kwanza nilikuwa nauliza lecture zipi ni nzuri kwa topic za anatomy na microbiology kwa YouTube maana mwalimu anayetundisha...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Elimu ya Tanzania ina matatizo mengi sana kuanzia msingi hadi kwenye taasisi za kudhibiti ubora wa taaluma au professional bodies kama ERB, NBAA, PSPTB, nk haziko kwa ajili ya kuwasaidia wahitimu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilikuwa nawaona wanavyokuja wameyabeba, hata wao wenyewe wanaona aibu wakifika kwenye wanafunzi wengi ile siku ya kuripoti, anatamani hata alifiche tranka lake, ila sema tu haiwezekani. Wengi...
0 Reactions
67 Replies
20K Views
Msaada tutani: Kwa wale ambao ni Programmers, naomba msaada wa kufupisha hii program kwenye DOS Notes: 1.The abbreviation DOS_COMMAND stands for any DOS command like copy, mkdir, etc. 2.The...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Just as the heading speaks, mfano press release ya TCU kuwa mwaka huu 2019/2020, waliochaguliwa kusoma shahada ya kwanza vyuo vyote ni wangapi? Karibuni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za jioni, natumai wazima wa afya. Jamani naomba kufahamu karo au ada ya uwalimu wa chekechea ni kiasi gani? Na je vyuo gani ambavyo vinatoa hiyo kozi ya ualimu wa chekechea?
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau naomba kujua kama kuna mdau wa chuo cha takwimu kile cha pale Changanyikeni EASTC tuwasiliane. Pia vipi kuhusu tetesi za batch three?
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom