Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Anayehitaji kuwekewa nafasi mapema bila gharama ya booking. Kwa maelezo zaidi piga simu namba:- 0718268014 0756888069
2 Reactions
1 Replies
4K Views
First Year muliokuwa leo UDOM (College of Education) tupeane kampani ya kwenda kula ujasi basi usiku huu na tupige story mbili tatu. Mimi nipo hapa College of Education nahitaji kampani...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari! Nina imani kuwa wote humu ndani ni wazima wa afya. Leo ningependa kujumuika na nyinyi ndugu zangu kujadili aina za wanachuo ambao kwa asilimia kubwa hawamalizagi chuo. Ni tumaini langu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, Nimeomba mkopo elimu ya juu mwaka wa pili ila nimekosa. Na nilisoma private advanced level. Je? kuna msaada ambao naweza upata ili nipate mkopo? Kama utakuwepo naomba msaada namba...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliobahatika kupata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB). Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata...
11 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza! Mimi nikiwa mhitimu wa fani ya Uhandisi wa Mitambo (Mechanical Engineering) katika moja ya vyuo hapa nchini, nimeamua kujikita katika tasnia hiyo ya ufundi magari ili...
3 Reactions
36 Replies
8K Views
Jamani naomba kufahamu kwa wajuzi, waliowahi kudisco chuo halafu wakaja kuomba chuo kingine baada ya miaka mi3 kupita then wakalipa 25% wanayodaiwa, halafu wakaomba tena mkopo je huwa wanapata...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu salamu, bodi ya mikopo tayari imetoa majina ya waliopata mkopo awamu ya pili leo ijumaa tarehe 25/10/2019, ili kuona jina lako kama umepata mkopo nenda kwenye akaunti yako uliyoitumia...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habar waungwana naomba kujua kwa yeyeote mwenye experience na hii ishu ,swali langu ni kwamba asilimia ambazo mwanafunzi anapewa akiwa mwaka wa 1 zinaweza kubadilika akiingia mwaka wa 2? Mfano mtu...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Hope mko poa wakuu. Mie mdogo wenu nimekuja kuomba ushauri issue iko hivi... Mwaka 2017 nimehitimu Diploma yangu Chuo cha Mbeya, mwaka huo huo nikaunga Digrii katika Chuo cha DIT ambapo soon...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wale wa mwenge Catholic university tufahamiane
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF! Katika soma soma yangu nimepata kuona katika vitabu vya dini kuwa maji matamu na maji ya bahari hayachanganyiki. Pia Kila mara nikielekea Zanzibar kwa boti nifikapo Msasani lazima...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Dogo kapata mkopo 100% akiwa tayari amelipa ada nusu. Je, atarudishiwa hiyo pesa au itakuwaje?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inatangaza orodha ya majina ya Wadaiwa Sugu ambao wamehitimu katika Vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu kuanzia mwaka wa masomo 1994/1995. Wasugu hao...
7 Reactions
281 Replies
138K Views
Hatua gani unaweza kuchukua endapo umekosa mkopo na muda wa kwenda chuo umefika? 1) Kuendelea kutolipa ada na kuendelea kusubiria mkopo ukiwa chuo. Katika experience yangu niliyopitia niliona...
5 Reactions
3 Replies
5K Views
Kozi hii inatolewa chuo kikuu huria cha Tanzania (OUT) Sasa basi, kama wewe ni mdau wa kozi hii na unapata changamto katika usomaji wako, nitafute nikupe mwongozo mzuri. Hii ni kwa wale walioko...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu poleni na mihangaiko.samahani waungwana nimekua nikipata shida sana kutokana na hili neno post grafuate.hivi hii Ni ngazi gani ya elimu? Yani ina maana gani?
3 Reactions
41 Replies
14K Views
Jamani kwema mazee mambo Shwari? Maulidi vipi? Eebwanae Mimi Nina maswali kadhaa kuhusu hawa wadogo zetu waliomaliza std seven mwaka huu, je wameanza kupangiwa shule za kwenda mwakani? Na kama...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Kijana ex-form4 2018 amepata UDOM (Dodoma) na UNIQUE (Dar) kwenda kusoma Certificate ya Communication and Information Technology. Kwa wajuvi, je kunatofauti yeyote kitaaluma kati ya vyuo hivi...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu ni matumaini yangu wazima wote naombeni ushauri wenu kulingana na soko la ajira Tanzania nimechaguliwa kusoma diploma in computer engineering science kati ya course tatu...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom