Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wenye kujua gharama ya masomo kwa mwaka kwa hizi shule kwa primary anijuze tafadhali (Morogoro Mjini) - Baptist primary school - St. Ann's primary school - Top stars primary school - Theresia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani hivi hawa Loan Board mbona wanazingua? Walisema kuwa batch two watatoa kabla ya tarehe 25. Mbona kimya?
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Wadau nauliza kati ya Muhimbili na Kcmc ni wapi pazuri zaidi kufanya internship kwa mwanafunzi baada ya kumaliza Md.sijasoma katika vyuo hivyo hivyo sina ufahamu mzuri wa hizo...
1 Reactions
21 Replies
9K Views
Mimi ni Mwalimu wa Masomo ya sayansi. Nataka nirudi shule 📘 Vipi kuhusu hii course ya Public Health nasikia inalipa. Naomba maoni yenu wakuu. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Wanaojua kuhusu hi kozi ya food science and technology kwa diploma ukimaliza unaweza kuomba degree baada ya kumaliza diploma na kwa GPA ya ngapi kuomba kwenda degree ya hii kozi?
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Msaada kama TCU wameweka transfer na tunangalizia wapi
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wana jamvi Naomba kuuliza kati ya accountancy, procurement na business administration ipi ina wigo mpana wa ajira?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, kwa wale mliowahi kuomba na kupata mkopo kupitia diploma tuambizane, je twaweza kupata?
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Bodi ya mikopo imetoa awamu mbili za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kwa kweli inashangaza kuona watoto wa wanyonge tena waliofaulu vizuri masomo ya sanaa na sayansi wamekosa mkopo. Mtaa...
9 Reactions
126 Replies
16K Views
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Wakuu habari za jioni. Naomba kujuzwa ni kwanini Shahada ya Utabibu/Medical Doctor (MD) au Shahada ya Utabibu wa Wanyama/ Bachelor of Beterinary Science (BVM) hazijaweka kwenye makundi (e.g...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Hapo zamani tulizowea kusikia Kaskazini ndio shule zilitoa wanafunzi bora ila this time naona kanda ya ziwa mpaka kwa mkuu wa Taifa eti ndio wenye akili. Samahani lakini natamani kujua, ni...
7 Reactions
117 Replies
12K Views
Miezi kadhaa iliyopita, UDSM walifanya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi DARUSO. Kama vile COHU, katika uchaguzi ule kulijawa na kila namna ya hila na unyama ambao ulifanywa na wajumbe kadhaa wa...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu ningependa kufahamu kama unatumia Control Number au Account Number ya chuo kukamilisha hili jambo.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nilidhani UDOM ni chuo bora sana katika mambo ya IT lakini kumbe nilikuwa najidanganya. Ebu fikiria tangu mchakato wa kuomba vyuo uanze website yao ikaanza kugoma kufunguka, tukadhani ni tatizo...
4 Reactions
67 Replies
9K Views
Wanabodi naombamwenye kuweza kunisaidia Examinations Regulatuons/Rules/By Laws za UDOM. Akhsante
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeona niandike hili baada ya kuona wengi mkihangaikia kozi za kusoma vyuoni. Iwe diploma au digrii, kuna kozi binafsi sishauri kusomwa na wenye mkondo kama wangu (low and middle family class)...
46 Reactions
274 Replies
83K Views
Naombeni mnieleweshe mimi naingia Second Year kozi ya Education lakini sijapata mkopo baada ya kukosa First Year nikaomba tena lakini mpaka awamu mbili zimetoka sijapata. Je, sisi tunaondelea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani naomben ushauri serikali imenichagua nikasome course ya procurement na logistics je ni course nzuri na inafaida gan msaada jaman ushauri wenu ni muhimu kwangu
0 Reactions
4 Replies
963 Views
Wadau, Kwanza pole na kazi. Naombeni ushauri. Nataka nijiendeleze kimasomo kwa sasa nina Bachelor of Arts in Economics. Nichukue Masters ipi ambayo itaendana na kasi ya ajira kwa sasa? Nahisi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom