Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
hivi kwa wanafunzi waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja wametumiwa code kwa ajili ya kufanya comfirmation mfano UDSM inagoma kufungua msaada pls
0 Reactions
1 Replies
589 Views
wakuu msaada Tangu jana usiku nimekua niki jaribu ku confirm chuo cha ifm. shida ni kuwa haikubali, error message ninayopata ni : 'Fail to connect to resources, please check your connection or...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu salaamu Nashukuru nimechaguliwa UDSM single selection. Sasa nipo kwenye mchakato wa kuhitaji joining instructions form ili nimpe mfadhili wangu ajue ni shiling ngapi analipa. Please...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sitaki kuamini kama nina mkosi kiasi hiki! Ina maana nina nini mimi mpaka sasa hivi hizo codes sijazipokea? Nasikitika sana pale ninaposikia kauli eti, "Waombaji wote wameshatumiwa codes"...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Mwenye majna ya udsm nayaomba
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ndugu zangu, habari za wakati huu na poleni sana kwa majukumu? Hao watoto hapo chini wapo wangapi kwa ujumla kulingana na uwezo wako wa kupambanua challenges? Ninawasilisha, Asanteni.
1 Reactions
67 Replies
6K Views
Habarini wanajamvini.Nilikuwa naomba msaada wa kujua chuo kizuri kinachotoa Bachelor of Computer Science
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu aise nilikuwa naambiwa mambo ya kuapply chuo yanastress da u kweli nimejionea wenzangu wameshatumiwa code number Mimi hadi muda huu bado .sema nilikuwa naomba kujua hawa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
wa
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Server zimezidiwa atuwezi Fanya confirmation
0 Reactions
4 Replies
908 Views
wakuu nauliza kama kuna MTU mwenye two kachagiliwa BAED udom mana daah mimi nimeomba hyo koz udom nimetemwa
0 Reactions
3 Replies
434 Views
Wakuu samahani asubuhi nime-confirm MUHAS, sasa hivi nafungua akaunti yangu ya UDOM na wenyewe wananiambia nime-confirm kwao. Msaada nifanyeje na nikiwapigia simu UDOM wanakuwa wakali kua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mdogo wangu amechaguliwa chuo cha udsm chaguo LA tatu Je ninaweza kuomba kwa Mara ya pili chuo kingine ingawa amechaguliwa udsm?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Naomba Msaada wa mawasiliano ya udsm, mdogo wangu Anafanya confirmation lakini password Inagoma, nahisi pengine amesahau. Msaada Tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
659 Views
Tangu Jana nafungua iyo link niweze Ku confirm lakini aifunguki
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji kucofirm ifm lakini tatizo ina fail nafikiri kwa sababu natumia simu ombi langu kwenu mwenye pc au Computer anisaidie Ku cofirm namba yangu ya watsap 0745304764
0 Reactions
1 Replies
870 Views
wakuu hiki chuo cha DIT mwenye link jamani tuwaangalia ndugu zetu
0 Reactions
0 Replies
554 Views
I'M ASKING THE POSSIBILITY OF AN APPLICANT POSSESSING CERT. IN CLINICAL MEDICINE WITH PRINCIPAL PASS OF GRADE DDD IN A-LEVEL PCB IF SHE/HE IS QUALIFYING FOR BACHELOR DEGREE OF MEDICINE.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo nimefahamishwa kwamba wale F6 waliokwenda JKT bado hawafujanga mafunzo. Yaani wako kambini. Najiuliza je haya mambo ya confirmation kwa wenye multiple selections na kuomba tena kwa wale...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom