TCU naomba sana mlifuatilie...
Kuna suala limeibuka la baadhi ya vyuo kufanya confirmation bila ridhaa ya mwanafunzi husika. Jambo hili litasababisha kutokea kwa multiple confirmation na hivyo...
Wanajamvi kutokana na destruri ya taasisi hii ya TCU kila hatua kuwa na changamoto zake ambazo kimsingi si za lazima sana lakini kila mara tunajikuta hukohuko tu. Sasa baada ya kuconfirm chaguo la...
Kwa mara ya kwanza nilikutana na vijana wa kike na wakiume ambao Kiinglish kimelala.
Zoezi la kwanza lilikuwa "Explain about Yourself''
Hapo ilikuwa ni patashika, maana kuna watu hadi tulitungiwa...
Polen na majukumu wakuu, kwa miaka ya nyuma kulikua na utoaji wa mkopo kwa diploma wanaosoma vyuo vya selikali , naomba kujua kwa ss ivi hili jambo bado lipo? Na kma lipo muombaji anafata...
Vyuo vingi hadi muda huu vishatoa majina yote ya wanaotakiwa kuthibitisha na ambao hawatakiwi kuthibitisha( waliochaguliwa chuo kimoja)
KCMC na ninyi toeni majina yote basi ili watu wajue mbivu...
Kuna wanaotaka tuachane kabisa na Kiingereza badala yake tujifunze kiswahili pekee. Hii inashangaza kwasababu viongozi hao hao wanapeleka watoto na wajukuu zao kwenye shule ambazo hazifundishi...
Tamisemi wametangaza majina ya wanafunzi watakaojiunga na elimu ya sekondari kidatu cha tano kwa awamu ya pili 2018/19.
Tembelea www.tamisemi.go.tz
Kupakua majina hayo.
Habari JF,nime chaguliwa bachelor degree in biology chuo cha udom. naomba kujua niki soma hiyo kozi baadae nta kuwa nani? au nta weza fanya kazi gani kulingana na hii kozi. Mawazo yenu muhim sana.
wote ambao hawajachaguiliwa kwa awamu ya kwanza(UDSM) na hawapo kwenye multiple selected applicants
wanashauriwa kuomba kwa mara ya pili kuanzia tarehe
6 hadi 10 Septemba, 2018
kupitia tovuti ya...
Wakuu habari zenu.
Nina mdogo wangu aliemaliza kidato cha sita, mchepuo wa PCB. Nakupata alama zifuatazo
Physics E
Chemistry D
Biology E
Bam E
Je kuna mtu wa mfano wake aliomba akachaguliwa?
Je...
Mpaka sasa sijatumiwa code na vyuo vyote nilivyoomba majina wamesha toa hivi niombe tena au niombe vya private tu na wakati huo huo wenye 3 wamepata vyuo huku wenye 2 wakiwa wanaangaika na vyuo tu...
Habari zinazoenea kwa kasi ni kwamba mwalimu mkuu wa shule ya Msingi Bulyahilu ya wilayani Buchosa Mwanza, pamoja na walimu watatu na mgambo wameiba mtihani wa Kiswahili, wakaufanya na kisha...
Hi, Looking for Tanzanian, living in Poland any one in cities of warsaw, Krakóu, wrockław..polna ideal to any of the rest too. Just to share a familiar environment in those cities and life in...
Serikali imesema kuanzia tarehe 01/12/2018 itaongeza mishahara ya watumishi wake wote kwa 40%. Hata hivyo kwa kipindi cha miezi mitatu yaani September, October na November waalimu, na watumishi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.