Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
nimemaliza diploma mwaka huu in crop production, vyeti nahisi vitatoka mwakani lakin transcript tayar nimeipata, je naweza kuomba AVN number kutoka NACTE kwa kutumia transcript pekee bila cheti?
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Nimepitia threads nying humu kwenye jukwaa kabla ya selection na baada ya selection , naona mambo yamekua moto before selection kulikuo na tambo za kwamba kuna vyuo vibovu aka shamba la bibi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuuliza je unaweza kupata mkopo wa heslb kama umedahiliwa nje ya nchi mfano Kenya,south au Uganda au hata nje ya afrika
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda kuuliza wakuu kwa sisi diploma tunaangalia vip matokeo na kama kuna mtu ana link basi aitume tusaidiane
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa wanaofahamu ukilipia tsh 10,000/= kama pesa ya maombi UDOM inachukua muda gani hadi wao kuipokea na kuonyesha kwenye system kuwa ni paid. Nimelipia takriban saa moja sasa, ila bado kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada wa kimawazo hapo, nmebahatika kupata multiple kama inavyojieleza natakiwa kuchagua kimoja..ushauri tafadhali
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba kujua ada za chuo cha KIUT katika course hz hapa MD PHAMACY MEDICAL LABOUR
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Habari zenu wanajamvi! Naomba mwenye uelewa wa Electronics and telecomonication Engineering (ETE) ajaribu kuielezea in and out hasa ile inayotolewa pale DIT
0 Reactions
1 Replies
440 Views
jamani naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote ambae alipata chuo udom bila kuambatanisha Cheti cha kuzaliwa raund ya kwanza msaada tafadhali
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama mwanafunzi amechaguliwa katika kozi fulani chuo kikuu na hajaridhika na hiyo kozi au hicho chuo kwa nini asiruhusiwe kukataa hiyo ofa halafu ajaribu kuomba tena vyuo vingine ili afikie...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari Wakuu Kama nilivyo eleza kwenye kichwa cha habari.nilikua naomba kujua utaratibu wa kusoma nje ya nchi. Nchi kama ujerumani Australia Norway na Canada. Kwa coarse kama Computer...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
IPI kati ya kozi hizo hapo juu inahitajika zaidi viwandani katika soko La sasa pia yenye wigo mpana kwenye other field katika ajira na kujiajiri Naomba kuwasilisha
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wanafunzi waliochaguliwa mwaka wa 1, First round hawajatooooa tuuuu jamani
0 Reactions
5 Replies
538 Views
Samahn naomba kujua waliochaguliwa muhas medical laboratory Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi nimechaguliwa vyuo viwili Chuo cha mwalim nyerere coz ni BACHELOR DEGREE IN ECONOMOCS OF DEVELOPMENT >>na Chuo cha Mipango dodoma coz ni BACHELOR DEGREE IN PROJECT PLANING AND MANAGEMENT...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu nakuja mbele zenu katika kupata mawazo yenu ni kozi gani/ipi itanifaa kusomea veta pale keko chang'ombe kwa mwaka wa masomo 2019.kati ya kozi hizi zifuatazo. 1:umeme wa magari...
0 Reactions
23 Replies
15K Views
nimemaliza diploma ya elimu na nina GPA ya 3.6 lakini nashangaa kwenye account yangu wameniandikia you have been rejected from the system reason sijafikisha minimum entry wakat na GPA 3.6 sasa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tafadhali fanya marekebisho ya mwisho. NACTE leo wanafunga dirisha la applications.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimechaguliwa udom kwa kozi ya economics and statistics na pia ardhi university nmechaguliwa kozi ya building economics... Kwa anaejua ipi cozi yenye priority ya mkopo na ajira pia
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom