Ndugu wana JF salute.
Mimi nilihitimu form six 2012 nikapata admission UDOM nikasoma mwaka mmoja,kwa kuwa nlikuwa self sponsored hali ilikuwa ngumu nikalazimika kuacha masomo bila ya kutoa...
Habari wakuu,
nimeona leo ardhi wametoa majina ya waliochaguliwa kozi mbalimbali kwa mwaka 2018/2019; mwenye taarifa zozote kuhusu UDSM;
ukizingatia nimeskia TCU wanataka mpaka tarehe 4 wanafunzi...
Habari za majukumu jamani.
Napenda kuuliza kuhusu ubora wa MBA itolewayo na chuo cha Archbishop Mihayo University College of Tabora ambayo ni tawi la SAUT.
Mimi nimegraduate bachelor yangu...
Nahitaji mwalimu mzuri wa form one physics, chemistry, biology na Maths na mwalimu wa commerce, geography, bookkeeping and History awe Dar es salaam crash programme ya siku 10. PM me please
Habar wanajukwaa
MOJA=Nawaombeni mnisaidie jinsi ya kulipia udom,napewa control number lakin sijui namba ya kumbukumbu ni ipi,naomba msaada hapa
JE NAMBA YA KUMBUKUMBU YA KULIPIA MAOMBI UDOM NI...
Msaada wakuu kuna mdogo wangu aliomba chuo cha udm,na Ruaha na Udsm.tareh 4 akatmiwa code za na TCU zikimtaka aconfirm chuo alichoomba.alipoenda internet cafe zile code zinagoma na ile sms imesema...
Mimi milichaguliwa multiple selection udom na ifm na nikaconfirm ifm lakini cha kushangaza nmeingia kwenye account yang ya udom nmekuta napo washaconfirm sa nfanyaje jmn
kwanza niwapongeze baadhi yenu vijana chipukizi ambao tayari mmekwisha kujua mustakabali wa wapi mtaenda kuendeleza elimu yenu ya juu na kwa wale ambao bado mnahangaika na code za tcu na harakat...
Habar zenu
Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada,, napenda kuwakumbusha wadogo zangu na kaka zangu jinsi nilivo haso kupata mkopo loan board,, Mim ni miongon mwa vijana kutoka familia ya chin...
Ina maana selection tayari? see bold line below. Nikiingia inakataa!
System Closed for Academic Year 2017/2018...
STUDENT'S ADMISSION AND VERIFICATION SYSTEM CLOSED
The Student's Admission...
Salaam wakuu, Naomba kufahamu hatua za kukana uraia A-Z. Nimezaliwa Tanzania na nimekuwa Tanzania lakini baba yangu sio mtanzania, kwahiyo nataka kuukana uraia wa baba. Naomba mnipatie muanga wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.