Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu naomba msaada juu ya step foundation .....
0 Reactions
2 Replies
555 Views
Kijana wangu amechaguliwa kujiunga form 5 Ndwika girls, naomba masaada wa kupata joining instructions za shule Ile, uniform na mahitaji mengine. Naomba msaada wenu.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
habari za mida hii wakuu. naombeni ushauri nifanyaje naana TCU wamentumia code zao jion hii up to now nimeshindwa kucomfirm ,
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu Wa masomo ya economics na geography na ninaweza pia kufundisha commerce Naomba Kama kuna Shule inahitaji mwalimu tuweze kusaidiana na ningependa kufundisha Kama permanent teacher...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
nilipomaliza registration! na kulogin kwa account niliyoiregister, natakiwa nipewe reference number ili niweze kulipia application yangu ya chuo lkn sikupewa, hii changamoto ni ngeni kwangu, kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
nilipomaliza registration! na kulogin kwa account niliyoiregister, natakiwa nipewe reference number ili niweze kulipia application yangu ya chuo lkn sikupewa, hii changamoto ni ngeni kwangu, kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Masaada wadugu mwenye notes za socialism advance anisaidie tafadhali anitumie hapa
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Tumekamilisha!! Kile kitabu chenye kumsaidia mwanafunzi aelewe anachokisoma na afaulu katika mitihani yake kimekamilika.Kitaanza kuwa mitaani tarehe 19 Sept.Kama unataka mwanao afahamu mbinu za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
salaam wadau, naomba kujua kuhusu kozi za folk lift operator ada yake na chuo gani zinatolewa kwa dar.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Karibun wote mliochaguliwa kujiuga na THE UNIVERSITY OF DODOMA
2 Reactions
105 Replies
11K Views
Tume ya udahili vyuo vikuu (TCU) imetangaza rasmi sasa kuanzia tar 10 hadi tar 14 kufunguliwa kwa dirisha la udahili awamu ya pili kwa walengwa wote wa - Waliomaliza form six na stashahada...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni application in nayoweza kuitumia kwa ajili ya kudownload video from u tube ambayo iko compactable with sumsung maana kila nayoijua nakataa
0 Reactions
5 Replies
704 Views
Habari, jamani kwa wale waliyofabya registration SUA for bachelor degree nahitaji msada wenu, Nimekwama kwenye malipo kwa njia ya simu,wamenitumia kumbukumbu no/reference no lakin hawajanitumia no...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Je wakati wa kulipa bodi ya mikopo Kupitia M-pesa unajaza index namba ile uliyo tumia nje ya nchi kwenye sehemu ya account namba au kuna manna nyingine... Kama kuna amesomea Uganda na amefanikiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani ushaurii wenu mm nimechaguliwa vyuo viwili tofauti na coz tofauti, nmechaguliwa chuo cha utumishi Wa umma coz ya records management pia nmechaguliwa Nit coz ya logistics and transportation...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wadau? natafuta wa primary school (English Medium) anayeishi Makongo au Goba. Naomba unitumie contact zake via 0755255768.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo juu.Natafuta shule ya Nursery iwe English Medium,maeneo ya Mwenge,Sinza,Makongo. Wawe Na Usafiri (School bus) itapendeza. Kama wajua nistue.Cost isizidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua shule nzuri ya English Medium ( Primary) kwa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni. Asante
0 Reactions
16 Replies
19K Views
Wenye division III TCU haiwachagui ni kweli wadau?
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Jaman nimeandikiwa congratulation you have been selected lakn coz zote nilizoomba zipo pale sijajua wanamaana gani naomben ushauli tafadhari wenye uelewa na hili
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom