WADAU HABARI
TAMISEMI IMETOA MAJINA YA WATUMISHI WA UMMA WANAOTAKIWA KUAMA KUTOKA MKOA MMOJA KWENDA MWINGINE LEO TAREHE 10 AUGUST 2018... NILIKUA NAULIZA BARUA YA UAMISHO HUA ZINACHUKUA MUDA...
WAZEEE WA KUNJI WA KARNE UDSM, KUNA WANAFUNZI WALIOANZA MWAKA WA MASOMO 2006 UDSM KWAKWELI HAWATASAHAULIKA KATIKA KUMBUKUMBU ZA CHUO HIKI. WALILETA MABADILIKO YA KILA NAMNA. MPAKA LEO KUNA WENZAO...
Habari ya mda huu ndugu zangu.
Kuna dogo mmoja alikuwa kwenye orodha ya multiple admitted, tumecomfirm SUA lakn profile yake haionyeshi mabadiliko yeyote. Naomba kufahamu kwa yule aliyeconfirm...
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia...
Huu Uzi maalumu kwa watu tuliosoma UDSM Na MUHAS tuu tena kwa kuongezea ni science subjects kwa wa UDSM... Tuje kushare mawazo ya maisha yalivyo now Na ugumu wa shule tulizopitia.. please Kama...
Huu sio ugwana kabisa chuo cha serikali tena kozi ya certificate inalipiwa million 3 na sehemu huu ni unyanyasaji au chuo hiki kimejengwa kwa ajili ya watoto wa vigogo tu viongozi wa juu wa...
Habari wanajamvi....kuna yeyote Mwenye ufahamu kuhusu walimu walioajiriwa mwezi June / July wa Shule za msingi mwaka huu 2018 kuwa hawajaingizwa kwenye mfumo wa ulipwaji mishahara (Payroll) ...Na...
Habari wakubwa mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 nilikua naomba ushauri wenu nataka niende nika somee kilimo je nime fanya chaguo sahii naomba ushauri wenu wapendwa
Karibuni hivi first year waliodahiliwa na kupata vyuo mbali mbali hapa tz na kule znz wataripoti. Ila mara nyingi huwa na shobo nyingi sana wawapo vyuoni.
Tunakukumbusheni kuwa mkae mkijua huku...
HABARI WANA JF NATUMAINI MKO WAZIMA WA AFYA
→NAOMBA ANAYEJUA GRADE ZA ADVANCED LEVEL ZINAZOTUMIWA NA BARAZA LA MITIHANI ANIANDIKIE HAPA.
A→......up to......
B→......up to......
C→......up...
KITU CHA MSINGI AMBACHO BADO NI KIGENI KWETU.
Habari za wakati huu watanzania hasa wadau wa maendeleo na technolojia.
Kuna kitu kidogo napenda kuwafahamisha.
Katika sekta ya viwanda hasa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.