Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari Wapendwa, Mods Tafadhali, ikibidi Hamishieni Uzi huu kwenye Jukwaa la dini/Imani Habari za Jioni, Hii ndoto imekuwa ikijirudiarudia hivi sasa kiasi kwamba Karibu kila wiki ni lazima niote...
6 Reactions
31 Replies
11K Views
Wapendwa Wahitimu Kidato cha Sita 2018, Kwa Heshima kubwa, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinawapongeza sana kwa kuhitimu masomo yenu na kufuzu vizuri kupitia matokeo ya mtihani yaliyotangazwa...
2 Reactions
18 Replies
10K Views
Wanajamvi habarini za muda huu Naomba kwa mwenye samples za research katika kada ya education anisaidie kuweka hapa sample hizo Natumaini wadau mtanisadia na kunishauri katika hilo Natanguliza...
0 Reactions
6 Replies
944 Views
Habari ya asubuhi,Naomba update zozote kuhusiana na Udsm tangu walipofanya udahili...
0 Reactions
4 Replies
942 Views
Sifa: Awe na uelewa mzuri wa lugha ya Kiswahili na Kingereza, awe anajua kutumia computer hasa Microsoft word. Awe amesomea masomo ya lugha hasa kingereza. Awe mchapakazi na mwaminifu. Akiwa na...
0 Reactions
2 Replies
888 Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019 na umma kwa ujumla kwamba orodha ya baadhi ya waombaji mikopo ambao fomu...
0 Reactions
24 Replies
14K Views
Habarini za asubuhi wana JF mimi nimechaguliwa Automobile engineering pale NIT Dar lakini kwa kuwa sina ufahamu mzuri kuhusu hiyo kozi nataka kubadilisha nikasome mechanical naomba ushauri wenu...
0 Reactions
0 Replies
506 Views
Inawahusu wale walioomba Certificate and Diploma programmes kupitia NACTE
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habr wana jf tukiwa tunaendelea na maombolezo ya taifa naomba kuleta hii kero yangu hii hum ndani Km kichwa kinavyo jieleza NACTE wamekuwa wazembe na wavivu sana ni heri wafutwe ili hata kam ni...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama title inavyoeleza,nipo kidato cha sita PCB ,somo la biology kwangu limekua ni tatizo kidogo.Kila ninapofanya mtihani marks zina range 45_60,licha ya kwamba biology ktk combination yangu ndio...
1 Reactions
14 Replies
7K Views
e
.l44
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Naona baadhi ya vyuo wametoa taarifa ya kuanza registration msaada kwa waliomaliza registration plz
0 Reactions
1 Replies
2K Views
[emoji120]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimejaribu kupitia shule zilivyofanya vizuri sijaona A wala B za Physics!Hata aliyeongoza ni PCM mwenye A in Chemistry and Math na C ya Physics.Kumetokea nini kwenye hili somo wakuu?Mtihani...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Wakubwa naomba kujua, career ya uhifadhi katika mbuga za wanyama au mapori ya akiba inahitaji msomi alisomea fani gani ama course gan....na je ni vyuo gani hapa Tz vinatoa mafunzo hayo?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Daaa nawakumbuka sana awa jamaa walio somaaa memkwaa ...wanakuwaga wakolofii sana yaaniii si wanakuwa wakubwaa ..nimesomaa shule moja ivii inaitwaa ''azimio pr skul mwaka 2005 kuna jamaa alikuwa...
0 Reactions
6 Replies
868 Views
Iwapo unataka kumfukuza au kumtoa mtu nje ya nyumba au jengo je utamwambia Toka ndani? au toka nje? Nitashukuru kwa msaada Ahsante
0 Reactions
17 Replies
999 Views
Ndugu zangu kuna kijana huyu: NASWIRU TWAHIRI TIBANYENDELA tibanyendela@sua.ac.tz (2018GBJ002671 1981 10 08). Sjui kama mnamjua au tunaweza kumfikishia taarifa. Amekuwa akitakiwa akaripoti chuo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chuo cha Usafirishaji cha Taifa kimepewa dhamana ya kuendesha mafunzo ya kozi mbalimbali kuhusu usafiri na usafirishaji pamoja na kozi kuhusu wahudumu...
0 Reactions
338 Replies
179K Views
Hiii picha ni ya mwaka 1888 ikimuonyesha bwanna JS Kenn akitoa adhabu ya fimbo kwa wanafunz nchini Australia. Utaratibu wa kuwaadhibu wanafunzi kwa fimbo ulienea katika makoloni ya Uingereza...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom