Ndugu wanaukumbi,
Nimekaa nikatafakari sana. Kuna wanafunzi wengi sana nchini wanavigezo vya kusoma elimu ya juu lakini hawana vigezo vya kupata mkopo toka bodi ya mikopo.
Je wakatize ndoto...
UNAKIKOSAJE KITABU KAMA HIKI KWA MFANO!!
Kitabu hiki ni kizuri sana kwa wanafunzi wa ngazi zote. Lugha yake na mifano iliyotumika inamfanya mwanafunzi kuelewa kirahisi na maelekezo yaliyotumika...
Kama ilivyokuwa toka kitambo kwa kijana wa kitanzania akimaliza form six na akabatika kupata nafsi ya kujiunga na chuo huona km sasa yeye ni specially kwa mambo yote ya kisomi na kijamii...
Habari
Vijana someni sana muwakilishe Tanzania nje ya nchi maana nimegundua huku pentagon ninapofanya kazi sasa hivi kama Electrical engineer kuna mtanzania mmoja tu ambaye ni Mimi.
Jitahidini...
Nimepata kufundisha shule tatu za kata aisee Kwa watoto hata ufundishe mmoja mmoja hawaelewi mpaka wanatia hasira.mnao fundisha shule za kata nipeni maujuzi mnafanyaje wenzangu.
Wakubwa Zangu Shikamooni Mimi Kama Kijana Wenu Age 20 Nina Ndoto Zakuja Kuwa Msomi Mkubwa Sanah Katika Masomo Ya Uchumi So Nivitu Gani Nifanye Ili Niweze Kufikia Ndoto Yangu
Kipi Ni Boreshe...
Nimemaliza form 4 mwaka 2006 ..nakupata bcc katika masomo ya pcb..nimeapply nacte mwaka huu diploma ya medical laboratory je naweza chaguliwa chuoo cha serikali ..naomba ushaurr nimetingwaa wadauu
habar naomba kuulza muhtimu wa kidato cha nne alopata alama c kwenye eng na d kwenye kisw anaweza jiunga na chuo cha uandishi na utangazaji kilcho bora..??
Wanasiasa hasa (wabunge) wa CHADEMA, wanaohama chama chao na kujivua ubunge sababu kubwa wanazotoa ni, chagua jibu SAHIHI kwa haya yafuatayo:-
(A) Kuunga mkono jitihada na Juhudi za rais wetu...
Nimechaguliwa kujiungUDOM ila ninahitaji kuihama kozi ambayo nimechaguliwa!!
Je kuna uwezekano wa kuhama kozi hiyo na kama upo je ni hatua gan nitahitaji kuzifuata ili kuihama kiurahisi...
Mkoje na hali Wakuu wa JF?, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo huu, binafsi na kwa maslahi ya wengine wasiofahamu hili nilikuwa naomba kufahamishwa ni lini selection zitatoka kwa waliotuma...
Habari zenu wakubwa
Kuna mtu kachaguliwa kozi ya Bs of science in health information systerm sasa hanayejua hii kozi hinahusika na nini na ajira zake zkoje
Nawakirisha na maoni yenu[emoji120]...
Wana jamii forum polen na majukumu
Nina mdogo wang amemaliza darasa la 7 namtafutia shule nzuri ya girls tupu yenye ufaulu mzuri na ada nafuu kidogo
Yeyote aniambie napokea ushauri wa wote
Naomba kuuliza
Nataka kutuma maombi ya usahili ili niweze jiunga na chuo cha Mifugo au cha Misitu, mwisho wa kutuma maombi ni lini? kwani nilikua nasubiria secondsellection lakini sijachaguliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.