Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nakumbuka Enzi Za Secondary Mwalimu Anatufundisha Topic Flan Kwa Ufupi Then Anatuambia '' UKU TUNAWAGUSIA TU MKIFIKA CHUO MTAFUNDISHWA ZAIIDI'' Tulivo kuwa Chuo Lecture Alituambia ''NAWAGUSIA...
2 Reactions
2 Replies
806 Views
1. POLICE-Prevention of Law and Investigation of Criminal Events(Hii ni kirefu cha kimataifa) 2. CRDB-Cooperative and Rural Development Bank 3. PPRA-Public Procurement Regulatory Authority 4...
9 Reactions
61 Replies
76K Views
Kama thread inavyoonekana,fursa mtu aliyesoma coz hiyo ni zipi labda anaweza fanya, msaada jaman.
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Nashangaa sana nna wadogo zangu wawili wamesomea ualimu lakini cha ajabu kwenye zile application za miezi kadhaa ilopita mmoja kachaguliwa kua mwalimu pwani na akiwa na GPA ya 2.9 AF mwenye 3.8...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
TCU ilitangaza ingetuma code kwa wanafunzi walio dahiliwa na vyuo zaid ya kimoja.. Kwa njia ya sms ili waweze kuchagua au kuthibitisha ni chuo gani wanaweza kujiunga navyo lakini TCU haijaweza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
TCU ilitangaza ingetuma code kwa wanafunzi walio dahiliwa na vyuo zaid ya kimoja.. Kwa njia ya sms ili waweze kuchagua au kuthibitisha ni chuo gani wanaweza kujiunga navyo lakini TCU haijaweza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar zenu wakubwa mimi ni mdogo ambaye napenda kufahamu kuhusu kozi ya sociology kiundan nataka niiombe chuo cha UDOM
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Selection ya second round lini wajomba
0 Reactions
5 Replies
804 Views
Naomba kuuliza kat ya development finance na community economic development mocu .ip ni angalau ukizingatia ajira na market katika NGOs...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu (2018) na matokeo yafuatayo; Economics D Commerce A Accountancy B G/Studies E BAM E Tatizo ni kwamba o'level nilipata F ya B/MATHES na D ya Book...
0 Reactions
6 Replies
970 Views
Habari zenu wapendwa.Naomba kuuliza juu ya kozi iitwayo bachelor of education in science inahusu nn asa,pia pia yafaa mtu Ku specialize katika masomo yapi hasa.physics,chemistry au biology...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau habari zenu..... ni kuhusu kozi ya B. in urban development and Environment management je nini future yake na ajira je zinapatikana... Pia ukilinganisha na Project planning management ipi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nimepata multiple selection. Nimechaguliwa SUA Bachelor of records and information management wakuu. Inahusika na carrier gani haswa? Nimechaguliwa pia Mzumbe bachelor ya Business...
1 Reactions
43 Replies
13K Views
Hellow ,samahani mwenye orodha ya majina yaliochaguliwa katika vyuo vya afya vya diploma
0 Reactions
1 Replies
3K Views
msaada wadau mwenye kujua kuhusu hiyo kozi ya PPM ,, kama inaweza kumsaidia mtu ajira ama kujiajiri na msaada huku ukiringanisha na urban planing and environmental management.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Baada ya kusubiri kwa masaa, siku, na sasa wiki hatimaye TCU leo wamenitumia zile "code". Sasa niwaulize TCU code hizi mnazonitumia leo zina msaada gani kwangu iilihali deadline ya kufanya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hatimaye Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) yaanza kutoa orodha ya waliopokelewa Vyuo Vikuu … kwa kudunduliza. Finally TCU University Admission Results are out … in drips and drops After nearly four...
4 Reactions
28 Replies
263K Views
Habarini wakuu, Naulizia kwa anaeijua hizi shule za Fountains of Joy na Mount Moriah zilizopo Mbezi kuna vijana wangu nataka kuwapeleka mojawapo ya hizi shule, mmoja darasa la 3 mwingine Nursery...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Message…napenda kujua kinaendelea nini mpaka muda uhuu kwa wale WA multiple Walio fanya confirmation Tayar na ambao wamewasiliana na vyuo husika. Mana udahili awamu ya pili umefungulia ila hatima...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba kuuliza ipi shule nzuri ya sekondari kwa wasichana ambayo inapatikana tanga pwani morogoro ada isizidi milioni tatu
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom