Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mi ni kjana ninayesoma certificate ktk chuo fulan nataka kujiunga open university kusoma degree kwa muhula huu 2016/17 Je ntaweza kusoma coz nasikia open university ni kwa ajil ya open distance...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Hbr wana jamvi? Swal ni linahusiana na chemistry Je molecular formular ya petrol ni ipi???
0 Reactions
1 Replies
437 Views
Kwa wale walio apply certificate na diploma upande WA kozi za AFYA mwaka WA masomo 2018/2019 Mie najarb kuingia profile yangu haifunguki inagoma
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomben maelekezo ya kufika udsm natokea tunduma.
3 Reactions
86 Replies
10K Views
Habari Jf,naomba kujua ii kozi ya logistic and transport management kiundani kidogo kwa anae ijua vizuri
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu; Tumejidanganya kwa mda mrefu sana, na tunaendelea kujidanya kuwa ,matumizi ya vitisho ,lugha za kejeli na kuwabeza walimu vinaweza kutusaidia katika harakati zetu za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asilimia kubwa hasa waliomaliza Diploma level hawapewii vipaumbele katika udahili kwa awamu ya kwanza vyuoni ni nini kifanyike upande wa TCU na vyuo husika?
1 Reactions
52 Replies
9K Views
Nilipitia kwenye orodha ya Vyuo vilivyosajiliwa kudahili na TCU kutoa mafunzo ya shahada mwaka wa masomo 2018-2019 sikukiona hiki chuo nikahisi labda ni Typing error. ishu ikaja pale ambapo kuna...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naulizeni Kwa wale waliowahi kusoma chuo cha power computer Posta kilichopo Jengo la SABODO mtaa wa INDIA nisaidie kunipa sifa na uzuri wa chuo hicho Napenda Kusoma IT BUSINESSES
0 Reactions
20 Replies
3K Views
TEMBELEA www.hibazone.com uweze kuacess na kukua kitaaluma
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Definition Colonial economy was an economy introduction projection Government to fulfill them. Colonial economy was introduced in order to make production distribution and consumption of material...
4 Reactions
17 Replies
107K Views
Wakuu nilibahatika kuomba vyuo vitatu ila mungu kasaidia jina langu limekuja kwenye multiple nimepata Iringa university pamoja na SAUT mwanza Ila cha kushangaza mpaka Leo tarehe 6 cjapata...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Hiviii mwanafunzi aliyesoma CBG anaweza kusomea Computer Engineering au IT?
0 Reactions
2 Replies
513 Views
Culture is dynamic. Discuss Msaada Plz Plz!!!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wapendwa tafadhali mwenye ufahamu na kozi nzuri za afya ngazi ya diploma..... Naomba kujua Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Me n mwanafunzi nimemaliza PCB mwaka nina 2 ya 12 ila nina CC na S ya phy sasa hawamu ya kwanza niliomba SUA UDSM na UDOM ila nimekosa ingawa nimeapply tena ila mama kankambia nitafute plan B...
0 Reactions
7 Replies
860 Views
Habari wakuu ndo nimetoka ofisi za Tcu pale kivukoni mkabala na ikulu cha ajabu nimewakuta wanafunzi wengi wa multiple admission na ilipofika zamu yangu kuwaeleza nimechaguliwa vyuo viwili but...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari ninahitaji msaada nimefanya addisimon ya kuapply sec round kwa mwanangu chuo kikuu cha udsm lakini nilifanikisha kuaapply vizuri tu But kuna haya maneno ninayaona baada ya kuangalia my...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mpaka sasa sijapata code Hapa sieelewi cha kufanya TCU ninmewatumia taarifa zote ila mpaka sasa hamna chochote.... Hawa TCU wanaboa kweli, nashindwa nifanye nini maana nipo mkoani na deadline ya...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Mimi ni mmoja wa wanafunzi walioomba vyuo vikuu mwaka huu,lakini sifurahishwi na treatment tunayopewa na watumishi wa vyuo hasa wa idara za admission,kumekuwa na tabia za kutuzimia simu, kutopokea...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom