Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Binadamu kuishi milele kama jaribio la kuonganisha ubongo na mfumo wa kompyuta litakamilika Je unatamani kuishi milele?. Huko nchini Marekani mjasiriamali mmoja wa masuala ya teknolojia, Eloni...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nashida na mtuu aliye mtwara Kama upoo Basi naomba unitafute kwenye namba hii 0625900302 asanteeeeeee
1 Reactions
5 Replies
640 Views
Nilikuwa na swali kidg ngependa kujua Kuna coz inatolew udsm inaitwa Bachelor of arts in public relatn and adiverts Ngepend kujua hii inahusu nn? Soko lake la ajira ? wamalizao katk hii coz...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tusaidiane kutaja vyuo vilivyofungiwa tusije kujikuta tuko nje
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habar wanaa JF Hivi kuna yeyote alifanikiwa kufanya third round application kwa vyuo hivi; -Udsm -Udom -And Mwenge Thanks
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Karibuni wadau VP udom tayari au
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari JF, Leo nimegutuka baada ya Mkenya mmoja anafundisha shule ya watoto hapa Dar kumkuta anawasiliana kwa bidii na Mkenya mwenzie aliyepo Afrika Kusini (AK) kwa mchongo wa kwenda kufundisha...
5 Reactions
11 Replies
3K Views
Mwananchi Vyuo viwili vyafutwa, vitano vyasitishiwa udahili Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) leo Septemba 25, 2018 imetangaza kuvifuta vyuo vikuu viwili, kusitisha kutoa mafunzo vyuo vikuu vitano...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imesitisha masomo na udahili wa wanafunzi wapya kwa ngazi zote za masomo na katika programu kwenye baadhi ya vyuo vikuu kutokana na kukosa vigezo. Pia imefuta...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni katika jitihada za kuwasilisha malalamiko yangu kwa niaba ya vijana wenzangu. Zoezi hili la udahili kwa mwaka 2018/19 limegubikwa na sintofahamu kwani nadhani hakuna link baina ya TCU na vyuo...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu habarini.... Hivi inawezekana mtu kusoma degree course mbili tofauti kwa kipindi tofauti... mfano sahizi nasomea bachelor of science in education ila nataka nikimaliza niende nikasomee...
0 Reactions
35 Replies
10K Views
Nasikia vyuo vya nacte kwa waliiomba diploma ya afya vinafunguliwa kuanzia tarehe 15 mwezi wa kumi sasa ndugu yangu mmoja kaomba diploma ya clinical medicine lakni mpka leo hajapata majibu msaada...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba kuuliza kwenye UHAKIKI PORTAL -RITA ukishatuma information inachukua muda gani kupata majibu Na kwenye kutuma files I mean risit na PDF copy ya cheti , tunatuma kama file moja au...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu waungwana,napenda kuwauliza kile chuo cha kiislamu niliambiwaga wanatoa kozi za cheti kwa fani za maabara,sasaiv nimeambiwa wameongeza mpaka diploma kwa kozi za maabara,je ni kweli...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Akiwa Darasa la Kwanza: Mimi nikiwa mkubwa nataka niwe Daktari Akiwa Form One: Malengo yangu mimi nataka niwe Engineer Akiwa Form Five: Najiandaa kuwa Mwanasheria, nataka niwe na ofisi yangu...
4 Reactions
4 Replies
931 Views
msaada natafuta chuo kinachotoa kozi ya computer science/ it/ computer engineering kwa masomo ya jioni niko dar es salaam??
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuuliza Dada halisi ya vidonda vya tumbo vinavyotokana na Bacteria ( Wadudu )
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Walaka maalumu wa Tume ye elimu ya juu kuhusu maamuzi yaliyofanywa na tume
2 Reactions
4 Replies
1K Views
niushauri wa bure kwa wanaosoma sayansi! maisha kwako yatakuwa matamu na hutojuta kamwe Sent using Jamii Forums mobile app
11 Reactions
290 Replies
37K Views
Kwa anayefaham walioomba certificate na diploma mana kuna nduguYangu aliomba diploma NIThaelewKinachoendele kama majina yametoka au laa Msaada pls
0 Reactions
2 Replies
562 Views
Back
Top Bottom