Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jana katika uchunguzi wangu huru nimebaini kwamba kuwa na CPA sio lazima uwe na degree ya uhasibu, yani unaweza ukawa mwalimu na bado ukawa mhasibu mbobezi tena mwenye CPA(T). Hii imenishangaza...
2 Reactions
31 Replies
10K Views
Mimi nilihitimu elimu ya sekondari 2011 na natamani kuwa dereva wa serikali katika ofisi yoyote ilimradi ni ya serikali (mfano Dereva wa mkurugenzi, Gari la wagonjwa na mengineyo). je ni course...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mi na dukuduku hasa kwa walio chaguliwa vyuo awamu ya pili Iv kama mtu kachaguliwa kwenye maltiple selct afu bada ya siku akatumiwa ujumbe na chuo ambacho akipo katka vile vyuo ulivyo chaguliwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hapa najua wengi mtachemka sana tena sanaa tu. Tujikumbushe formular (Kanuni) mbali mbali za hesabu iwe za shule ya msingi,sekondary au Advance? Mimi ninayoikumbuka ni hii tu a² + b ² = C². ...
1 Reactions
224 Replies
34K Views
Niwaulizeni jamani eti kati ya hizi Masters programs mbili ni ipi inafaa kwa mtu anayelenga kupata uweledi utakaomsaidia kuongeza wigo mpana mpata wa kupata fursa mbali mbali kujikwamua kwenye...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa juu ya hii kitu anisaidie. Kuna vitu kama sporophyte na gametophyte generation vina nichanganya ktk hii concept.. Pia jinsi gani life cycle ya mimea kama...
0 Reactions
3 Replies
859 Views
Msaada natafuta mashirika yatakayo weza nipa scholarship ya kwenda kusoma nje me ni mwanafunzi nilimaliza mwaka huu na nina 1 ya 7 PCB ila mpaka leo ninavyo sema aijapata hata Chuo cha UDOM...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Wakuu naombeni msaada wenu kwa yeyote mwenye kufahamu namna ya kudownload joining instructions form hasa chuo cha mifugo Mabuki..
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa wale waluochaguliwa cuhas,unapataje admission letter/joining instruction?
0 Reactions
0 Replies
617 Views
Jaman naulizia selection za deploma za ualimu zatoka lini?
0 Reactions
0 Replies
464 Views
hivi TCU wamekosa misimamo ya kuondoa majina ambayo wameshindwa kuconfirm ili kuruhusu nafasi hewa zijazwe na watu?????halafu TCU ratiba yenu mbona hamuifuati???watu wanalia 3rd round na hakuna...
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Naomba mwenye majina ya walio chaguriwa ifm mwenye majna
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba Mwenye Uchambuz mzurii wa Kitabu Cha Betrayal In the City Anisaidie soft copy yake. Niambie nikupm namba yang ya watsapp unitumie
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Habari ya asubuhi wakuu,, naomba Msaada Wa Ku upload cheti tena kweny tovouti ya mkopo .... Najaribu kufanya hivyo inasema file already being existed...
0 Reactions
1 Replies
703 Views
Mama yangu ana cha kura tu na kina majina tofaut je anaweza kutmia temporary passport (visa
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Samahani...najarbu Ku upload tens kweny website yao ya mikopo baada ya vyeti vyng kuwa certified by Rita...lkn chaa ajabu naambiwa file already being uploaded..sijui nafanyaje aisee naomba msaada wako
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini.. Nimeambiwa bodi ya Mikopo inatoa mikopo kwa wahitimu wa degree ya Sheria wanaotaka kwenda law school. Kuna mtu yeyote anaejua namna ya kuomba mkopo wa HESLB kwa ajili ya masomo ya Law...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasomi naomba kuelimishwa kuhusiana na mpangilio wa elimu, namaanisha ukitoka degree ya kwanza, inafuatia nini na nini mpaka mwisho wake kama ni profesa au dkt naomba muniwekee mpangilio sahihi
0 Reactions
13 Replies
6K Views
wakuu naomba msaada kwa anaejua wapi naweza kupata chuo cha udereva wa maroli humu humu Tanzania na kama kitakua cha serikali itapendeza zaidi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom