Ndugu dogo alikosa mara ya kwanza akaomba mara ya pili sasa majina yametoka walochaguliwa chuo kimoja na kuambiwa third round 24_26
Sasa naulza je vyuo bado havijatoa majina au sijaona tu na kama...
Mm ninapenda sana maswala ya blog nimefungua blog nyingine sana na kukata tama but ipo nataka kutengeneza blog mpy na ambayo nitanunulia domain na kuomba maombi Google ADSENSE
But ni sehemu hipi...
TCU imefungia vyuo vikuu zaidi ya 14 vikiwemo vyuo pekee viwili vya Kagera -
Chuo Kikuu Kishiriki cha Josiah Kibira (JOKUCo)
na Chuo kikuu kishiriki cha kumbukumbu ya Kadinali Rugambwa(CARUMUCo)...
Jana wanafunzi walikwenda kwenye chumba cha mtihani kufanya mitihani yao ya supplementary, wakakaa saa nzima. Mwishowe wanaambiwa kuwa hakuna mtihani watoke wasubiri mpaka watakapo tangaziwa tena...
habarini wakuu,
Nina mtoto wa binamu wangu amemaliza shule ya msingi. Amefanya interview Rosmini na AHMEs na kupata zote hebu nipeni ushauri ili nami nimshauri aende shule bora karibuni wakuu
MAJINA YA WADAHILIWA KATIKA AWAMU YA PILI
Published on Wed, 09/26/2018 - 15:17
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania ilitangaza kukamilisha kuchakata majina ya waombaji wa awamu ya pili tarehe 23/09/2018 na...
mimi kijana nimemakiza form four mwaka 2014 nitaka kujua ukisoma community healthy inaweza ikakusaidia kusoma kozi nyingne za afya maana sikusoma physics peke yake nimepata
je inaweza ikanisaidia...
Jana TCU wametoa multiple selection ambayo walitakiwa watoe tangu tarehe 22 kwa mujibu wa ratiba yao.lakini cha kushangaza vyuo vingi haviachia wale waliochqguliwa chuo kimoja jana hiyo hyoTCU...
DELAY IN PUBLICATION OF RESULTS FOR
APPLICANTS IN THE SECOND ROUND
The University of Dodoma (UDOM) wishes to inform all candidates who
applied for admission into different study programmes offered...
Anaandika Abdul Nondo.
Nimesoma taarifa ya Tume ya vyuo vikuu inayohusu kuzuia vyuo kadhaa kuendelea kutoa Elimu na vingine kusitishiwa udahili na kuwekwa chini ya uwangalizi. Ni kweli...
Unatakiwa ku upload cheti chenye muhuri tu , kwa wale wenye matatizo ya kuwa certified by rita hakuna haja ya kutuma hardcopy maelezo kutoka board nilikwenda asubuhi hii leo
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania ilitangaza kukamilisha kuchakata majina ya waombaji wa awamu ya pili tarehe 23/09/2018 na kuwa majina hayo yamekwisha rudishwa vyuoni kwa ajili ya kutangazwa. Kutokana...
Shule ya msingi Top Layer Pre &Primary School iliyopo kimara bonyokwa imeshusha ada zake zilizokuwa zikilipwa 1,200,000 kwa Primary na kufikia 850,000 na nursery kutoka 850000 kufikia...
Hii Thread ni Maalumu kwa malalamiko ya waombaji wa mikopo kutokana na Changamoto wanazozipitia kipindi cha uombaji wa mkopo kwa Elimu ya Juu
Inaweza kuwa ni kutokuwa na uangalifu (Maakini) kwa...
Kwa mnawapeleka watoto pre form one wanafundisha civics,chemistry,biology,physics,math,english nq geography wengine mpka history kweli mnawaaribu watoto na ndio mwanzo wa kufeli.... napita sehemu...
Applicants wanapata tabu sana kwa baadhi ya vyuo katika suala zima la udahili. Je, chuo gani kinapaswa kutupiwa jicho kali sana na mamlaka ya juu kwa namna wanavyobabaisha suala la udahili ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.