Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu SUA ninasomea Bsc Education( geography& mathematics) ,natarajia kuingia mwaka wa 3.. kwa miaka miwili niliosoma nimejitahd kwa juhudi zangu kupata gpa ya 3.2...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu naomba mnisaidie, ukitaka kuchukua transcript Udsm kwa sasa unatakiwa uwe na vyeti vyako vya taaluma na cha kuzaliwa original au copy tu za vyeti hivyo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu poleni na majukumu. Ivi ikitokea mwanachuo akakosa kufanya mitihani kwa kukosa ada then akaomba kufanya mitihani ya special lakini akashindwa kutokana na tatizo la kukosa ada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu kwa ambae anafahamu shule nzuri ya wasichana yenye gharama nafuu anisaidie, kuna mtoto wa dada yangu kamaliza mwaka huu darasa la saba na wazazi wamechelewa kumtafutia shule, kwa anaejua...
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Waliosoma pale SAUT Mwanza tukutane hapa. Wanaofundisha pale pia unaweza kuchangia, wanaotarajia au kutaman kuingia pia unaruhusiwa Ku threadarise.
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Baadhi ya vyuo second round selections bado haijatoka huku third round of applications imeshafungwa. Third round sikuapply kwasababu nilikuwa nasubiri UDOM na MZUMBE watoe second round , mpaka...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Mama mmoja aliamua kumtembelea mtoto wake wa kiume anayesoma chuo kikuu katika HOSTEL aliyopanga ili wale chakula cha jioni pamoja.. [emoji492][emoji502][emoji1640][emoji895] Alipofika hapo...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau Mimi nimechaguliwa DUCE BED ARTS kozi hii niliweka chaguo no 7 asa ndo nmedondokea hiyo hyo sasa nilkuwa naulza.he nkiomba tens vyuo vingine itakuwaje apo badae hasa kwenye suala la mkopo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani kama kuna anayejua tarehe ya kuwasili chuo kikuu cha UDSM tuhabarishane. Na je chuo tunahitajika kwenda na result slip ya form six au cheti??!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mi nimechaguliwa chuo cha ifm coz ya insuranse and risk management. Je naweza badil kwenda bank and finance? Nimesoma hge nlkua na two ya kumi bt F ya bam
0 Reactions
1 Replies
669 Views
msaada jamani kuna ailieomba round ya pili chuo cha Arusha technical collage bachelor na kajibiwa kwenye zccount ake
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni msaada siku ya kulipoti chuo cha udsm,
0 Reactions
5 Replies
814 Views
Diploma and certificate
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Wakuu naomba kuuliza kwa waalimu wa ajira mpya. Kuhusiana posho ya kujikimu na salary tangu kuripoti kituo cha kazi. Huko kwenu vipi? Vipi kunadalili zozote au turudi maskani hadi miezi mitatu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Iv hio cz ajira zak n zipi hasa baada ya kumailiza kusoma kwa tanzania , pia ufafanuzi wa ziada kuhusu hilo pliz
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Diploma and certificate
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimepigiwa simu na dogo amechaguliwa combination ya EGM au CBG nimshauri achague ipi. Nikajiuliza,Hivi kuna uhusiano gani wa moja kwa moja kati ya Economics na Geography kwa EGM. Pia kati ya...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
jamani hivi YAI la kuku alilomaliza kutaga ni living thing or non living thing???
0 Reactions
18 Replies
3K Views
China is sending science students to live with rural farmers - and crop yields are skyrocketing Improving the livelihood and life of smallholder farmers Living on a farm and growing crops...
0 Reactions
1 Replies
627 Views
habari wadau.. natafuta contacts za viongozi wa serikali za wanafunzi dar.. kama unasoma ifm, tia, ustawi, tudarco. nyerere, cbe, duce, etc please please niipatie namba ya member yeyote ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom