01: Bachelor of art in mass communication
02: Bachelor of art in public administration
03: bachelor of library and information management
04: bachelor of art in sociology.
05: bachelor of art...
Wakuu ,binti yangu amemaliza std 7 anangojea matokeo ,alikuwa anasoma Shule ya private huko mwanza sasa tumeamia Dsm kwa hiyo atalazimika kusoma Shule ya sekondari huku ,
Nimeandika hapa...
Kwa akili yangu ya kunywea bia naona ni bora kwa billions zinazopelekwa kwenye elimu bure zitumike kujenga veta nchi nzima kila kata ili mtoto wa kabwela akimaliza msingi au sekondari akapate...
Habr za kazi wakuu,niende moja kwa moja katika mada yangu kama ilivyo andikwa hapo juu. Mimi ni mwalimu Wa sekondari ya Nkome iliyoko mkoa Wa Geita,wilaya ya Geita vijijini,Kata ya Nkome,naomba...
Habari wanajukwaa,mimi ni muhitimu wa diploma ya ualimu nimeapply udsm kwa round ya pili sasa hivi nimeingia kwenye profile yangu naona wameandik Hivi
STATUS : Successfully selected on : Bachelor...
Wakuu poleni na kazi,
nimeshtushwa pale nlipowasiliana na ndugu yangu wa siku nyingi ambaye yeye anasoma chuo cha kimataifa cha kampala baada ya kunipa taarifa kua alichelewa kulipa Ada na...
Habari wana jukwaa,naomba mwenye ufahamu na haya mambo aweze kutujuza
JE YAWEZEKANA MTU ALIYEOMBA KUDAHILIWA MASTERS NA AKAFANIKIWA KUPATA NAFASI YA MASTERS,JE ANAWEZA KUBADILI NAFASI ALIYOIPATA...
Wakuu Habari zenu!
Kwanza Kabisa Natunguliza Kusema Mimi sio Mwanafunzi (Nimemaliza Kusoma Tokea 2005) Wala Sihitaji Kusoma Kwa Sasa.
Ila Kuna Staff mwenzangu Ana Mtotowake Ambaye ana Div II ya...
Msaada tenaa ...jamanii naitajii mtu yoyotee mwenye joining istraction ya masomo ya afyaa kwa chuo chochotee cha government ..kuanzia 2016 mpakaa 2018 ..kwa certificate na diplomaa ...msaada wenu...
Nimefanya kazi ya kuwasaidia watu ku apply vyuo kwa miaka kadhaa sasa tangu huu mfumo wa kutumia 'Admission System' uanze.
Nimebaini jambo moja nyeti sana. Wanafunzi wengi waliomaliza Form Six...
Habari wana jf. Kiukweli matumizi yangu ya jina halisi humu linaninyima haki na uhuru wa kutoa maoni yangu ktk kila thread kwakuwa kama ilivyo kuna thread nyngine inakuwa na hisia kali hivyo...
Msaadaa jamanii naitajiii kama naweza nikapataaa ...JOINING INSTRACTION ya chuo ya kiomboi school of nursing ..au namba za simuu ...mwalimuuu yoyote wa chuo ichooh ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.