Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nina Mdogo wangu kamaliza form 4 mwaka jana alikuwa anataka kuapply clinical officer na mimi sina uzoefu wa maswala ya elimu Naomba msaada jamani kuhusu kozi ya clinical officer, niweze kujua sifa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie hints muhimu za Kuandika CV Mfano, ya Ualimu, daktari ,ikiwezekana Naombeni na Sample kwa PDF. cainchuhira@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jaman tulio apply nursing na pharmacy St Joseph college of health Tanzania tukutane hapa maana mi upande wang nimeapply nursing diploma ila bado cjapata taarifa zozote
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari ziwafikie popote mlipo......._. [emoji441][emoji441] _Sisi ni wanachuo watoto wa maskini kutoka Tanzania ambao tulitokea kuupenda mtandao wa Vodacom na kuona ni mahali sahihi kwa kutokana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Bila shaka Wana Mzumbe mpo hapa JF, nimetumwa kuwakumbuka wafuatao John Mongela, James Bwana, Michael Thomas Sebastian Sarota, Hassan Rajab Hassan, Patrick Maleva, Anderson Segereti, David Black...
0 Reactions
78 Replies
28K Views
**Samahani anayejua maeneo ambayo MTU aliyesoma kozi ya MOLECULAR BIOLOGY & BIOTECHNOLOGY anaweza ajiliwa au kufanya kazi anijuze hizo organization, institutions zake
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wasalaam wanajamvi. Napenda kutoa pongezi za dhati kabisa kwa wanafunzi mliochaguliwa vyuo mbali mbali na ninyi mnao endelea na masomo. Tunauza Laptop computer kwa bei nafuu kabisa ambayo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba kufahamu juu ya course ya bachelor of philosophy with education
1 Reactions
0 Replies
376 Views
Updates From: MPELLA EDUCATION BLOG 1.0 Utangulizi Itakumbukwa kwamba mwaka 2016 Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania ilifanya ukaguzi maalum wa kuhakiki ubora katika vyuo vya elimu ya juu nchini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hapa ni Chuo kikuu cha Jordan Morogoro taasisi ya Vijana Initiative foundation ilipoandaa Tukio kubwa la kuwakusanya wanafunzi zaidi ya 2000 wa 4m 4 kwa lengo la kuwatia moyo katika mitihani yao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mtu yeyote aliye tumiwa code from tcu kwa wale walio chaguliwa multiple
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Habari zenu wadau, kama kichwa cha habari kilivyo nahitaji kujua utofauti kati ya hizo course mbili.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NDUGU wanajamvi msaada Juu ya hili mwanafunzi aliyehitimu kidato cha 4 mwaka 2013 nakupata hist,E geoE, civD, kiswB, engE, literD, biosD, bam na ku reseat 2017 kwa ku Pata civil D, his D geo D kid...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanajamvi nimewaza sana bila kupata majibu ya maswali nayojiuliza kuhusu kuzuia kudahili wanafunzi baadhi ya vyuo kutokana na vigezo mbalimbali kikiwemo Kigezo cha elimu...
1 Reactions
2 Replies
946 Views
Habari wakuu, Nikiwa natambua kuna watu ambao wana maeneo yao ambayo pengine wameambiwa kwamba yana uwezekano wa kuwa na dhahabu au wanahisi tu kwamba kuna dhahabu. Hapa nitaelezea viashiria...
2 Reactions
6 Replies
20K Views
Habari ndugu zangu JF Mdogo wangu A_level alisoma HKL na amehitimu tayari na anasema angependa kusomea UHASIBU CHUO KIKUU JE ITAWEZEKANA? Naomba msaada hapo.
0 Reactions
32 Replies
7K Views
See the attachment bellow.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ufundishaji katika shule nyingi za sekondari za kata hauendani na haufuati mpango wa Maandalio ya Somo. Nadhani, sasa ni wakati mwafaka wa kuachana nazo. Kuna sababu hizi za kusema hayo. Mosi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019 na umma kwa ujumla kwamba imetangaza orodha ya baadhi ya waombaji mikopo...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Nacte imetoa mwongozo kwa walioapply kwa ngazi ya certificate na diploma.kuwa masomo yataanza tarehe 15 October. Na select za majina yao zitaanza kutoka kuanzia tarehe 15 mpk 22 September.kwa...
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Back
Top Bottom