Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Admission status yangu kwenye profile yangu ya nacte imepotea japo, mwanzoni niliona nimechaguliwa kleruu teachers college, na Tayari wamenitumia joining instructions nifanyeje,
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwalim: We Bwenga mbona upo nje wakati wa vipind? Bwenga: fanya yako fala wew, maisha yangu hayakuhusu Mwlim: [emoji15] [emoji33]whaat!!! Bwenga: Ujasikia au[emoji1610]chukua time sir [ huku...
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Mwenye program ya SPSS anisaidie wakuu. Nataka niganye data analysis.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeona nifungue huu uzi ili tupeane maujanja ya kupata scholarship nje na ndani ya nchi. Scholarship hutolewa kwa namna mbili- 1/Full scholarship - Hii mwanafunzi hulipiwa miaka yake yote ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi hii ni hatari kwa taifa na watoto wetu.kufuatia uongozi uliopo madarakani kwa sasa chini ya headmaster col.MWANGASI na wasaidizi wake kufuja pesa mpaka kufikia kushindwa lipa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni naombeni kwa wenye maelezo ya kutosheleza kuhusu kozi hii ya REGINAL DEVELOPMENT PLAN naombeni mnipatie full dertails ikibidi na soko...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Naomba kufahamishwa kuhusu NTA47 nini maanayake coz NACTE wameniandikia kwenye profile yang, nachokijua kuna NTA1,2,3,4,5,6,7,8,9,10 na 11
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimehitim kidato cha sita 2016 sikuwa na sifa ya kusoma diploma nikaenda kusoma Grade AIII nimehitim mwaka huu nahitaji kuendeleà kwa ngazi ya diploma naingiza index no ya Grade III A haisomi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nina elimu ya kidato 4 na certificate ya urasimu ramani chuo cha ardhi Tabora ya miaka 2, je kwa sifa hizo naweza kuomba kujiunga na Chuo kikuu cha Ardhi kwa kozi ya Mipango miji au kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
masai resistance in kenya -causes and -impact
0 Reactions
2 Replies
596 Views
Kama kichwa kinavyosema hapo juu ...ni kuwa ninahitaji kusoma masters ya regional development planning au masters yoyote inayoshabihana na course yangu nje ya Tanzania sasa naomba kusaidiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii course Inasoko hapa nchini na kazi nyingine mtu anaweza kuzipata kama zipi? Bachelor of Science in Library and Information Mnagement
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani Wanajamii Habari ya mchana Napenda kuomba msaada wenu Kwa yeyote anaejua kilipo chuo kinachofundisha madereva wa malori tuu hapa dar Es salaam Mdogo wang anapenda kuwa dereva wa lori...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Baada ya kusubiri codes toka jana bila mafanikio hatimaye leo nimepokea simu tatu, nilipigiwa na ofisi ya admission chuo cha Mipango Dodoma asubuhi, Mcha Na hivi sasa nnimepigiwa simu kutoka...
2 Reactions
94 Replies
16K Views
FORM VI EXAMINATION 2018 GEOGRAPHY 1 TIME: 3 HRS...
1 Reactions
9 Replies
14K Views
Naomba msaada apa kidogo jaman.. Nmeanza kufuga kuku wa kienyej na pia natamani niongeze aina nyngne ya kuku... Na aina ya kuku ninaotaman ni kuroiler.. Swali lang ni Je nitawezaje kutofautisha...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau Habari za hapa. Naombeni ushauri na maoni kuhusu kozi tajwa halo Juu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu? Kuna tetesi zinaenea kuwa matokeo ya darasa la saba yanaweza kufutwa kutokana na hali ya uzembe ya usimamizi wa mitihani hizi habari zimekaaje wakuu ni kweli au porojo tu!
0 Reactions
21 Replies
66K Views
MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA. Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa. Mwili una mifumo...
6 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar wana jf kuna kozi inaitwa theater and film art ningependa kuifahamu zaidi kwa upana ina husu nini,changamoto zake faida na ajira yake kwa tanzania
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom