Wana jf nilikuwa naomba ushauri kuhusu coz ya bsc.degree in biology je aneyeisoma hii course mbeleni anakuja kuwa nani na kuhusu ajira hii course imekaaje huko??
Jamani wana jf naombeni msaada wenu mm ni mhitimu wa kidato cha sita na nimechaguliwa kujiunga na Sua kupitia course ya bsc.animal science lakin nataka nibadili kwenda bsc.biotechnology je...
Kwa walio bahatika kupata chuo awamu ya pili..!! .....cjaelewa kinachoendelea kutoka TCU mpaka xx ukiingia kwenye accont mfan udom wanakuambia uweke izo code, labda mwenye newz kuhusu ili swala...
Mi lini hii time ya vyuo vikuu itafutwa?Maana sio kwa usumbufu huu tunaopata katika kuomba vyuo vya elimu ya juu. Mpaka sasa kuna maelfu ya wanafunzi hawajui hatma yao katika masomo,wameshindwa...
Pole na majukumu wakuu
niende kwenye mada moja kwa moja..round ya pili ya selection vyuoni nimechaguliwa mzumbe na nikachaguliwa katika chuo kimoja tu, Mzumbe walinitumia sms kwa cm yangu kuwa...
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.
Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa...
Pengine unaweza ukawa unamijusi, panya au ndege fulani nyumbani kwako kumbe masikini unaishi na nyara za serikali bila kujua.
Nyara "trophy", si neno geni masikioni mwako.. ni wazi kuwa umekua...
samahanini wadau nlikua nauliza hv course ya information management ina apply wp hasa na pia ajira unaeza pata kama sehem ipi na je unaeza kujiajir na ..pia nlikua naomba ushaur wenu kama ni nzur...
Baraza la Taifa la usimamizi wa elimu ya ufundi (NACTE) limekifunga Chuo cha YRM Institututes of Business and Technology kilichopo Ilala jijini DSM kutokana kutoa huduma bila kusajiliwa huku...
Habari wana JF
Naomba kukutana na kijana yeyete aliyesoma UCC, kituo chochote..
Tunaweza kugawana fursa kulingana na ushirikiano wake kwangu...
Kwa yeyeto ambaye yumo humu au unamfahamu ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.