Habari Jf.Madereva wanao endesha magari ya serikali kama wanao waendesha wa kuu wamikoa wa kuu wawilaya makatibu tawala(rasi)na wa kurugenzi wa taasisi mbalimbali,naomba kujua na takiwa nifanye...
Humu najua kabisa kuna watu mnavichwa vikubwa vya kufikiri — Great Thinkers — na kwa hiyo natumaini nitafaidika na michango yenu kuhusiana na Elimu hii mpya.
Nahitaji kujifunza namna ya...
Za kuamka waungwana, naomba kuuliza juu ya application kwenye vyuo vya afya. Nina mdogo wangu kaapply st. Francis certificate ya pharmacy lakini mpaka Sasa hawajatoa majibu na ukiwapigia hawatoi...
Mwalimi anapaswa kumfundisha mwanafunzi kwa kuzingatia nyanja kuu tatu ambazo ni;
1). Maarifa(cognitive) (2). Stadi(psychomotor) na (3). Mwelekeo(Affective).
Kwa maana nyingine, mtoto anapaswa...
Ombi langu ni kwa wale kaka zetu na dada zetu waliopo Ifm ningeomba waanzishe Ifm special thread ili kuweza kutusaidia wadogo zao wa mwaka wa masomo 2018/2019 mambo mbalimbali
"Hatuna wanasayansi tuna watu wanaosoma sayansi...hatuna mainjinia ila tuna watu wanaosoma injinia….kama tutafumua mfumo wa elimu kuanzia shule ya msingi itasaidia kubadilisha mfumo wa...
Habari wakuu,
Vyuo mbalimbali vimeanza kutoa majina kwa waliochaguliwa kujiunga na vyuo vikuu. Stella Maris Mtwara, Makumira, St.Joseph, Saut, CUHAS na vingine. Nitaendelea kuwafikishia kadri...
Muda uliopita niliomba ushauri kuhusu mahali pazuri zaidi panapofaa kwa ajili ya kupata taaluma ya sheria lakini naona wadau wengi waliidharau Udom. (sijui ni kwanini???)
Ndugu yangu amemaliza...
Kwa mujibu wa ratiba ya TCU leo tarehe 06/10/2018 ndiyo ilikuwa tarehe ya mwisho ya kutoa feedback kwa wale walio chaguliwa thidr round lakini mpaka muda huu saa 9:44 hakuna kitu chochote katika...
habar wakuu,juzi niliandika thread iliyokuwa inaelezea tatizo la akaunt yang ya udsm campus ya mkwawa kuw nimetoka kwnye multiple wakat ukwel haukuw hvyo.sasa Leo mida ya SAA NNE hv naona...
Heshima kwenu wakubwa,
Nataka kurudi shule, nina qualification zote, nisomee kozi ipi kati ya NISOMEE IPI KATI YA DIPLOMA IN PHARMACY NA BACHELOR IN BIOMEDICAL ENGINEERING
Habari wana JF......
Naomba msaada wa Majina ya Shule za Wasichana za Boarding zilizo chini au kusimamiwa na KKKT na Mawasiliano yao kama yapo itakuwa vyema........
Shule ambazo zipo Dar wa...
Wanadau kwa yoyote mwenye dondoo juu ya hasa ni lini selection za round ya tatu zinatoka tupeane update kupitia uzi huu. Maana siku zinasonga kwa kasi halafu wengi hatujui hatma yetu.
Tafadhali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.