Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ni weekend nyingine wakuu natumaini mu-wazima wa afya. Kuanzia 2015 mpaka sasa kumekuwa na ongezeko kubwa la wadahiliwa kukosa vyuo au kozi ya ndoto yake ingawa kuwa ufaulu wake unajitosheleza...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
Naam,jamani tupeane mawazo mtu asome kwanza Kisha atafute ajira au afanye kazi kwanza kwa level ya elimu ndogo kisha akajiendeleze? Najua Kuna watu watapata majibu yao Leo hapa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hatimae TCU waona maoni ya watu kuhusu mifumo mibovu ya vyuo vingi katika udahili wao kwa kutokubaini vacant courses zilizo baki katika udahili uliopita, SEE ATTACHMENT
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kwanini kozi fupi fupi za kuongeza ujuzi, na kuiboresha carier yako, kuiboresha CV ni gali sana... wakati sio wote waliomaliza degree kama wanapesa?
1 Reactions
5 Replies
643 Views
Wanabodi, baada ya kuona changamoto za udahili wa wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu mwaka huu na mwaka jana nnashauri sasa Serikali ione umuhimu wa kurudisha ule mfumo wa kufanya mombi ya...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
#NENDA_CHUO , #NENDA_MDOGO_WANGU Nakupongeza kwa kufaulu kwenda Chuo Kikuu , aya nenda Mdogo wangu. Wanafunzi 40,000 watapata mkopo , na wewe utapata mdogo wangu nenda. Najua hujawahi kumiliki...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
TCU wametoa tangazo kuhusiana na waliokosa vyuo awamu za mwanzo kuomba awamu ya nne
0 Reactions
1 Replies
2K Views
*[emoji95]BREAKING NEWS : TAARIFA MPYA KUTOKA TCU KUHUSU WANAFUNZI WANAO-APPLY VYUO NA WALIOCHAGULIWA MULTIPLE SELECTIONS AWAMU YA PILI-2nd Round SELECTIONS* [emoji828] maelekezo na UFAFANUZI...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Msaada wadau wa Iringa mjini, jambo nzuri huhitaji kujipanga!! Hivyo najipanga haswa! Utakuwa poa sana kama hicho kituo kitakuwa kinatoa tuition ya masomo ya ; Chemistry Geography Mathematics
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau nimekuja kwenu leo, kutaka majibu ya maswali yaliyokuwa yananitatiza kwa kipindi kirefu. Na pia nimeamua kumwaga hoja hii mbele yenu nikiamini kabisa kuwa hapa ni mahala sahihi kwa kila...
0 Reactions
34 Replies
25K Views
Habr ya jioni wana Jf, Nimeona tangazo la TCU kuwa watafungua dirisha la udahili vyuo vikuu awamu ya 4 kuanzia tarehe tajwa juu kwenye HEADING. Miongoni mwa vitu walivyosisitiza ni chuo husika...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Naomba kuuliza swali ndugu zangu, mfano MTU ana degree ya engineering alafu anataka kusoma postgraduate diploma ya education, je akimaliza anakuwa mwalimu au? Nahitaj elimu hapo
0 Reactions
2 Replies
602 Views
Niliwahi kuandika kuhusu Academic freedom yafuatayo:- Academic Freedom ni uhuru wa wanataaluma kuruhusiwa kufanya tafiti na kutoa matokeo ya tafiti zao bila kuingiliwa na mtu yoyote. Academic...
0 Reactions
1 Replies
497 Views
Habari za saivi wakuu naomba kujuzwa juu ya ubora na mazingira ya DIT mwanza compus ,hiki chuo kizur? na je coz ya science and laboratory techlogy ni nzur? Inaajira za kutosha?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanataaluma wote salama? Nimeona matokeo ya kidato cha sita (mtihani wa taifa) mwaka 2007 shule nyingi tu, ambapo unakuta wanafunzi wa shule moja wanakuwa na points za ufaulu zinazofanana lakini...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta wanafunzi wanaosoma chuo kikuu cha dodoma kozi ya environmental engineering especially wale wa mwaka wa kwanza Nataka niwaunganishe na wale wanaosoma chuo cha ardhi kozi hiyo hiyo ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habar wakuu,Mimi nilichaguliwa selection ya pili nkwawa kama direct yaan nilpata chuo hcho tu na nilipoangalia kwa wale waliotoka kwenye multiple sikuwepo na profile zoote za vyuo nlivyoomba...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Ushiriki wa wazazi katika mchakato wa ujifunzaji wa watoto ni suala lisilo na mjadala. Matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanyika hapa nchini yanasisitiza kuwa wazazi wanaposhirikiana na walimu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
BNY SERVICES. Wanatoa huduma ya private tuition kwa wanafunzi na wasiokuwa wanafunzi katika mambo muhimu yafuatayo: 1)Wanafundisha wanafunzi wa O-level kwa masomo ya mathematics,physics,chemistry...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom