Wadau naomba kuuliza hivi kuna mtu yoyote aliyechaguliwa IFM amefanikiwa kufanya confirmation, Maana system inaniletea blank page nikiweka zile codes za TCU. Msaada tafadhali
Wakati tunatumia CAS kila round ikiisha TCU wana kuwekea data kuna nafasi ngapi zilizowazi kwa kila program ya kila chuo. Unajipima halafu ndio unaomba. Kwa sasa hili haliwezekani kwani watu...
Wakuu kwa wale tulio omba udom 3rd round hichi kitu kina maanisha nini tume pata katika single au ndo system zina sumbua,maana uki ingia sehem ya kuapply hakuna mwitikio wowote na profile ipo kama...
Kuachiwa kwa first batch ya mkopo ndo kunanukia wenye presha za ajabuajabu mjikaze jamani,Ila angalizo hatuitaji misiba kama utakosa tafta namna nyingine ya kujisonesha.yakitoka unatakiwa...
Habarini , naomba kujua tofauti ya masters ambayo duration yake ni miezi 18 na ile ambayo ya miezi 24 especially kwa udsm.
Je duration ya semester inatofautiana?
Pia kama kuna utofauti wa mda wa...
Nimechaguliwa mati ilonga diploma ya general agriculture under government sponsorship kuripot kuanzia tarehe15 ya kesho had29 mwezi huu,nahitaji kujua location ya chuo ukitokea msanvu.Asanteni
Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi (Nacte) limezuia vyuo 163 kudahili wanafunzi katika kozi mbalimbali ngazi ya astashahada na shahada, baada ya kukutwa na upungufu ikiwako kutokuwa na walimu...
Academic transcription refers to speech to text conversion of lectures, seminars, discussions, presentations held in schools, colleges or universities into a text format for educational purpose...
Nilikuwa kwenye dala dala natoka mjini naelekea nyumbani....ndani ya daladala akawa anahadithia mdada kuwa yeye ni mtumishi wa umma na alisoma udsm...alipopata kazi mwaka 2008 ndipo Heslb walianza...
Wakuu kuna mtu anauliza kati ya bachelor of art in geography and environmental studies na bachelor of art in library and information studies ipi ni nzuri kusomea
Wapendwa nimepata story kutoka Junior Seminary Morogoro wamevunja mkataba na mzabuni aliyekuwa na tender ya Ku supply mikate (burge) kwa ajili ya wanafunzi na kuamua kutumia wanafunzi kujipikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.