Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hii kozi mwenye uelewa nayo anisaidie bas japo kunipa mwanga
0 Reactions
2 Replies
666 Views
SUA siwaelewi kwa kweli mimi, wanatoa tangazo la 3rd round wakati tupo mbele zaidi 4th round? hata hivyo sielewi mfumo wao upoje, NO ANY SELECTION UPDATES KWENYE ACCOUNTS, AU MIMI TU? MWENYE...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nafahamu wapo wanafunzi ambao wamekosa nafasi ya kuingia chuo mpaka sasa kutoka na wao kung'nga'ania kuchagua vyuo/kozi zenye ushindani hivyo kutupwa nje kutokana na competition. Habari njema ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye taarifa na hili ninaomba aliweke hapa jukwaani.Nimesikia kuanzia mwakani mwezi Julai Wakuu wa shule watalipwa Tshs 250,000 kwa mwezi kama posho,wakuu wa vyuo 300,000. Waratibu elimu kata...
0 Reactions
37 Replies
16K Views
kuona hayo majina bofya link hapo chini Download PDF File: The list of Students with Multiple Selections Round1,2 & 3
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mheshimiwa Admin mkuu na wengine wadogowadogo. Tafadhali naomba nije na mada hii. Walimu wenzangu Wa Kiswahili naomba sana mnisaidie katika nano hili hapa Wa-ta-ka-o-ku-j-a Kiambishi *ka* kina...
0 Reactions
2 Replies
795 Views
Mpaka sasa hakuna chuo cha kilimo ambacho kimetoa matokeo ya maombi ya kujiunga na certificate/diploma za kilimo. Kuna nini? Inaonekana kama kuna usiri wa aina fulani, maana tulitegemea kuwe na...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Hy wakuu.....!! Kama kichwa cha thread kinavyojieleza hapo juu, wale wote tuliochaguliwa MATI MTWARA.. Vipi kuhusu Joining instructions kwa CERTIFICATE GOVERNMENT SPONSORSHIP kuna mtu...
2 Reactions
19 Replies
11K Views
Wakuu; Mpaka mudaa huu vyuo vikuu mfano,udsm,udom,mwecau n.k havijatoa mrejesho kwa wanafunzi wa round ya tatu. Hali ya kuwa tarehe 13/10/2018 wanafunzi wa round ya nne wanahitaji kuanza kuomba...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Na jiona mjinga sana kwa kukosa chuo mwaka huu
2 Reactions
127 Replies
10K Views
Naombeni msaada ninadeki yangu haitoi rangi kabisa inaonesha picha na rangi haitoi vizuri
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Kudos my alma mater. Naangalia hapa interview na ninamuona mama Ndalichako kaketi mbele ya library mpya kampasi ya mw Nyerere,anadai imegharimu dola mil 40 na kila kitu kimekamilika bado kupiga...
8 Reactions
69 Replies
9K Views
Kwanza kabisa naomba kusema asenteni sana kwa ushauri wenu na misaada yenu mungu amenijari nimepata chuo asante sana kwa wote mlio ni saidi nimepata KCMC kama kuna mdau wa huku mungu akipenda...
1 Reactions
3 Replies
862 Views
Kwa wale wanafunzi mliojaribu kufanya application kwenda vyuo vikuu kwa awamu ya kwanza na pili na ukakosa basi fahamu kuwa kuna kitu unakosea. habari njema ni kwamba TCu wametoa nafasi kwaajili...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Wadau naomba kuuliza kama kuna aliyepata confirmation codes kwa watu huku watu wa multiple third round tujuzane wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Abari zenu wakuu ... kwa wale waliotuma maombi chuo cha ardhi morogoro ngazi ya diploma, au kama kuna mtu ana taarifa yoyote anijuze.. maana naona mda unaenda bado wako kimya...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Wakuu pole na shughuri, jamani nina mdogo wangu kakosa nafasi ya afya alikuwa na PCB point 10 sasa amesema ataomba mwaka ujao, Sasa anataka kusoma computer, wakuu nisaidie vyuo vinavyofundisha...
0 Reactions
19 Replies
11K Views
Karbuni, kumekuwa na urasimishaji Wa ardhi kwa wananchi, kupitia hivyo kuna mfumo unaoitwa upimaji shirikishi hasa kwa maeneo ya huku mikoani, hivyo mwenye uelewa zaid ya zoez hili Mara baada ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Message…nilituma maombi bodi ya mikopo ila cheti changu cha kuzaliwa kilihakikia na maafisa wa RITA wa wilaya kikasainiwa na kupigwa muhuli na mahakama. Je kuna shida naweza kutana nayo katika...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu anayejua taarifa yoyote kuhusu kuachiwa kwa majina ya wanufaika wa mikopo tujuzane,wakati walidai tarehe kumi na tano mpaka saivi kimya
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom