Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
hivi tanzania kuna ratiba inafuatagwa kweli????????? mpaka leo watu bado hawajapata chuo yani,...are they serious??????? what wrong with them
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Samahani wakubwa, nahitaji kujiunga na masomo ya elimu ya juu na tayari nimepata chuo kikuu cha dodoma,, uwezo wangu kimaisha ni mdogo sana kumudu masomo hayo. Mwenye kufahamu naomba anishauri...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wadau, Nina mdogo wangu alichaguliwa vyuo vitatu,akatumiwa na code aconfirm Chuo kimoja,baada ya kushauriana namm tukakubaliana na akanitumia code nithibitishe yeye kusoma IFM,jioni hii...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ndugu Zangu Nimemaliza Chuo Hapa Sua sasa kipindi nasoma nilikuwa najichanga ili niweze kwenda Denmark Kupata Masters... Lakini mimi nina nauli na hela ya kunikimu huko Ada Sina Ila Mpango Wangu...
0 Reactions
2 Replies
786 Views
Hbr wana Jf na hongereni kwa majukumu. Kipindi cha udahili wa vyuo watu wa kwenda kusoma kozi mbalimbali kinafikia ukingoni. kwa wale wote waliopata vyuo Hongereni sana na Ambao hamjapata pia...
8 Reactions
37 Replies
3K Views
uandishi wa ushairi ni wakupendeza.jadili
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni msaada Ni ipi koz yenye market kati ya social work na community development
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kalamu ya Miambili ya Jonathan Kwizera (JK), Katibu Mkuu Mstafu DARUSO na Mhitimu UDSM* Nakupongeza kwa kufaulu kwenda Chuo Kikuu , aya nenda Mdogo wangu. Wanafunzi 40,000 watapata mkopo , na wewe...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau Nimeomba salio la deni ninalodaiwa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu. Nilichopewa sio salio ni mkanganyiko wa kufadhaisha sana. Kwanza wamedai hesabu zao ni tafauti na hazina. Kwenye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye file la udsm joining instructions
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kwa ambae anayo joining instruction ya Udom 2018 undergraduate anisaidie.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mnakalibishwa kuweka kitu chochote kinacho husiana na mabadiliko kwenye Taaluma ya Uhasibu na Ukaguzi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada jamani mwenye kujua tarehe ya kuriport udom kwa ngazi za certificate
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar zenu wana Jf!! Nilkua naomba kma kuna yoyote anayejua jinsi ya kupata hostel za ndan mapema katika chuo cha T. I. A ambacho kipo dar!! Maana nasikia hua zinajaa mapema sana!! Mayb namba ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
hvi kufanya manunuzi kwa sarafu ya nchi husika kma Tanzania kutumia Tanzanian shilling badala ya dollar kufanya malipo hili litasaidia kukuza uchumi wa nchi husika?
0 Reactions
2 Replies
732 Views
CPA
Wadau kwa mtu anayeijua center nzuri kwa ajali ya review ya masomo ya uhasibu cpa kwa mkoa wa Mwanza tafadhali naomba anifahamishe ... mahali ilipo pamoja na fee intermediate kwa somo itapendeza...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Berachah Valley Primary and Secondary schools inatangaza nafasi za kazi kwa walimu wa shule za msingi . Mwalimu awe na uzoefu wa kufundisha English medium schools na awe na cheti cha diploma au...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wadau....hivi hawa Tcu watatoa lini ilo official announcement na zaidi sana selection za 3rd round? Au ndo kusema Wametuchinjia baharini.. Au hizi presha ndio machozi ya samaki... Mwenye clue...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Naomba kuuliza majina ya maombi ya Masters second batch yatatoka lini kwa udsm?
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Jamani msaada kuna mtu anataka kujua kama kuna yyte aliechaguliwa chuo zaidi ya kimoja tayari kashapata special code tcu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom