Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari, nimesikia kuna somo la Food and Human Nutrition. Ivi Shule gani unayoijua hulifundisha somo hilo?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu naombei msaada juu ya kozi ya bachelor in archeology ya udsm,kwani ndo kozi niliyobahatika kupata second round.nahitaji kujua inahusu nn na ajira zake kiujumla.napenda kusema haya yote ni...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ipi Ni kozi nzuri ya kusoma Kati hizi mbili,Tafadhali naombeni ufafanuzi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Elimu ya kumkomboa masikini ni Serikali kuwekeza kwenye elimu ya ufundi kuanzia Msingi hii itafanyaTanzania yenye Nguvu ki Uchumi katika Elimu inayogusa jamii ya watu wenye kipato cha chini ambao...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza ivi jaman naweza pateje kitabu hiki historia darasa la 6 , hasa mtandaoni sijui naweza pata katika web gan?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba msaada /hints za namna ya ku-integrate swali ambalo liko kwenye attachment
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama kawaida yao, UDSM wanaendelea kuongoz list ya Vyuo bora Tanzania, best five ni: 1. UDSM 2. SUA 3. MU 4. UDOM 5. MUHAS full list hii hapa: Top Universities in Tanzania | 2018 Tanzanian...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Naomba msaada mwenye kujua kozi ya bachelor in library and information studies kwa upande wa ajira
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Naomba mwenye joining instruction form za muhas 2018/2019 anisaidie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi, ningependa kufahamu kama inawezekana mtu mwenye elimu ya form four akasoma sheria na ni chuo gani kizuri kuanzia?? Pia kuhisu scholarships naweza pata baada ya kumaliza...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
kuhusu chuo mimi ni mwanafunzi nimemaliza diploma na G.P.A ya 4.6 ya information and technology nimeapply vyuo viwili wrote wajanipa majibu ukiuliza wanasema tatizo T.C.U kivipi na chuo chetu...
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Asalam Aleykum wana jf. Naomba leo niingie humu jamvini kwa namna ya tofauti kabisa kuijadili hali hii ya elim hapa kwetu Tanzania. Kwanza nianze kwakusema kuwa mimi binafsi ni mwajriwa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Za jumapili ya Leo. Naomben ushauri WA kitaalamu Kwenye Suala kuchagua Kozi nzuri Kwa Ustawi WA baadae na upatikanaji Wa Ajira. Nina wadogo zangu wawili, mvulana kapata division one ya...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimechaguliwa chuo zaidi ya kimoja na sijatumiwa codes na TCU nimewapigia chuo wameniambia nisubiri codes za TCU naona muda unazidi kwenda naombeni ushauri nifanyaje
0 Reactions
4 Replies
925 Views
Nacte
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba jibu. Halafu wanaosomea arts mara nyingi huwa ni vilaza
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naombeni msaada Nimechaguliwa chuo second selection ifm lakn ila kwenye orodha ya matple selecton sipo ila ifm walinielekeza kuwa ni confirm code nilizopata toka tcu nami code sijapata hivyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HIVI NACTE VYETI LINI KWA WAHITIMU WA 2017
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani naomba kuuliza selection za certificate zinatoka lini? Naomba kufaham hili ndugu zangu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom