Wakuu naombeni msaada wenu ili niweze kupata code ya kuthibitisha chuo maana nimechaguliwa chuo zaidi ya kimoja.
TCU wanasema muda wa kuthibitisha ni leo ila bado hawajanitumia code, sijui wana...
Hbr mwenye namba za tcu tofauti na walizoweka kwenye website anisaidie
Naona vyuo vya tanzania vinaluka uku ndo vimeambiwa vitusaidie kuhusu utata wa namna yeyote now wanasema tupigie tcu ndo...
Habari wana JF leo trh 03/10/2018 second batch SUAwamerelease lakini sijaelewa vema kuhusu udahili wao awamu ya 2 na ya 3, nikiingia kwenye account no updates yoyote bali account ipo vilevile kama...
Wadau, naomba ufafanuzi kama hili linawezekana katika utaratibu Wa sasa ,maana nimepata kigugumizi kidogo.
Kuna Dada yangu kijana wake yupo kidato cha 3 (form three) Uwezo wake darasani ni Wa...
Habari za muda huu Wana JF
Katika jambo ambalo limekera, limeleta usumbufu ni aina ya udahili wa mwaka huu uliubuniwa na TCU wa mtindo wa kuthubitisha kwa kutumia Special codes wanazotumia...
Jamani me nimemaliza mwaka huu nimesoma PCB nimepata 1 ya 7 mpaka round hii ya pili sijapata chuo naombeni msaada mwenye namaba za lecture yeyote katika hivyo vyuo naombeni pengine atanisaidia...
Kama wadau wakubwa wa elimu kwa upande wa nyanja ya uzalishaji na uuzaji wa study materials kwa walimu na wanafunzi tuna kila sababu ya kukumbuka siku hii muhimu ya walimu.
Kwa msingi huo...
Kama wadau wakubwa wa elimu kwenye nyanja ya uzalishaji na uuzaji materials kwa walimu na wanafunzi, tuna kila sababu ya kuenzi siku hii ya walimu kwa namna zote za kipekee.
Mojawapo ni ku share...
TAARIFA KWA UMMA.
Hii taarifa ya Voda (kuzungusha gurudumu, ili ushinde zawadi) imesambaa sanaaa .Hawa ni matapeli, usijaribu kuingia kwenye account hiyo na kuweka details zako utaweza kudukuliwa...
Habari wa kubwa
Naomba kuuliza eti awa jamaa wa MCT baraza la madaktari tanzania uwa wanatoa post za internship mwezi gani?
Nimemaliza shule toka mwezi wa 7 bado awajatoa post
Na swali lingine...
Nipo ubungo River side . naitaji mtu ataye nipa mafunzo ya kutumia Adobe Photoshop Na Adobe premiere.
Nita fidia mda wake Kwa pesa tutayo kubalia kutokana Na mafunzo ..
Kwa yoyote mwenye kujua...
Kijana amechaguliwa chuo cha uongozi wa mahakama Lushoto, certificate. Mwisho wa kozi hiii ni upi? ie akimaliza anaendelea na nini (diploma, I guess ?????).
Hoja yangu: Je anaruhusiwa kuchukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.