Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za muda huu wana jamvi. Nina rafiki yangu kamaliza mwaka jana degree ya mambo ya afya (hajaajiriwa). Sasa ali apply masters yake akapata pale muhimbili na kuripoti ni tarehe 22 mwezi huu...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu tafadhalini naombeni mnisaidie kuhusu maisha ya chuo kiujmla,hasahasa upatikanaji wa chumba/hostel kwa mwaka wa 1,changamoto za hapo chuo ni zipi ili nijipange kukabiliana nazo,,n.k,karibuni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naulizia kwa anaefaham review clases za cia and mayb cisa na mode ya kusoma
0 Reactions
7 Replies
2K Views
1.Havina websites ambapo unaweza kupata tarifa zake. Matokeo yake ni Mahangaiko matupu kwa mtu anayetaka kupata taarifa mbali mbali kama kuoma chuo, joining instructions etc. 2. Kutokuwa na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Frank Francis mwanafunzi pekee aliyewahi kuwa wa mwisho darasani kidato cha sita mwaka 2006 Mpwapwa sec,wa kwanza mihula sits mfululizo shule ya msingi Mihayo Mkoani Tabora(1993-1996) na wa saba...
1 Reactions
39 Replies
7K Views
Ndug wana Jf nimeileta Mada hii kusudi tuweze kuchambua, kwa kina kuhusu elimu zitolewazo shuleni na vyuoni ni kwa kiwango gani kinawasaidia wanafunzi kuwa na uwezo binafsi wa kufikiri na kuweza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Gharama za majoho vyuo vikuu ziko juu sana, kila mtu anahitajika kutoa Tsh 50000/= kwa ajili ya joho moja na hilo joho unakaa nalo week moja tu unalirudisha na...
1 Reactions
35 Replies
8K Views
Habri za muda WanaJF Naomba kujua eti kuna tofauti kati ya course hzi >Basic Technician Certificate in Clinical Medicine >Technician Certificate in Clinical Medicine >Ordinary diploma clinical in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanaJF Naomba kuuliza nikitakusoma clinical officer Ni apply course inayoitwaje ambayo mtu anakuwa CO Nashukuru Ahsanten
0 Reactions
1 Replies
1K Views
IMPORTANT NOTICE 21/08/2012 PAYMENT OF TUITION FEESAND DIRECT COSTS: ALL UDOM STUDENTS (FIRSTYEAR AND CONTINUING STUDENTS) ARE REQUIREDTO PAY TUITION FEES AND DIRECT COSTS FOR THE 2011/2012...
1 Reactions
24 Replies
52K Views
Follow this link to join my WhatsApp group: UDSM CoICT
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini ndugu ? Kama kichwa cha uzi kilivyo hapo juu, ninaomba anayefahamu jinsi ya kupata karatasi halisi (original) zote za masomo yote, za mitihani iliyopita ya mitihani ya kitaifa Tanzania...
2 Reactions
11 Replies
43K Views
Habari wanajamvi, Jamani wadau kuna mtu anazijua/anazo format zozote za NECTA? Naomba anisaidie
1 Reactions
8 Replies
24K Views
Ndugu wanajukwaa la elimu poleni na jitihada za kuipigania elimu yetu.nikienda moja kwa moja katika mada inavyouliza hapo juu.Nimeamua kuleta mbele yenu kama mjadala baada ya kufatilia kwa muda...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa ikiwa kunasecond selection za diploma na je unalazmika kufanya application tena?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu habar kwema Mimi nimechagiliwa mzumbe kozi ya sheria main campus lakin admission letter ni ya mzumbe campus ya mbeya kozi ya human resource nawapgia cm hawapokei nifanyeje wadau
1 Reactions
14 Replies
2K Views
habari zenu, nimemaliza form6 nahitaji kusoma diploma ya kilimo je naweza kupata ufadhili wa masomo yangu ya kilimo na chuo.marks zangu ni GEOGRAPHY-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S GENERAL STUDY-S
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom