Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuna ndugu yangu kachaguliwa UDOM yupo kwenye multiple mpaka sasa hajatumiwa code sijui tunafanyaje msaada wa ushauri ndungu
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa waliomba chuo cha ifm diploma au certificate kuna ambaye ameshapata joining instruction mana mimi nimeenda sana pale wananiambia bado na tayari kwenye account yangu walithibitisha...
1 Reactions
1 Replies
615 Views
msaada wadau. kwa yeyote yule aliyepata admission letter ya bch of electrical engineering anisaidie namba yake ya whatsap nahitaji msaada wakujua kilichomo ili nijiandae.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Swali: Je, nitajuaje kama nimepata mkopo? Jibu : Tembelea tovuti ya www.heslb.go.tz ili kuona orodha ya waliopata mkopo. Tumia namba yako ya mtihani wa kidato cha nne uliyotumia wakati wa...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Wakuu 3rd round application ya vyuo nilibahatika kuchaguliwa vyuo viwili,Mwl.Nyerere Academy na Muslim University,ila baada ya kupata code kutoka tcu bas nikaconfirm Mwl.Nyerere,ila nmeingia...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Rehma na amani ziwe juu yenu. Guys nahitaji msaada wenu nimemaliza form six 2014 nimeapply TCU bt first selection nliomba logistics and transport management (NIT) but unfortunately nime'login...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu. Baada ya TCU kuachia first batch, niko hapa kujibu maswali na kutoa hints kadhaa kwa ndugu zangu first year wanaokuja DUCE. Dar es salaam University College Of Education (DUCE)...
1 Reactions
66 Replies
15K Views
Nawapa pole wale waliokosa mkopo awamu ya kwanza pia niwaombe muwe wavumilivu kwani kuna awamu ya pili ingawa hii itawahusu sana wale walioomba chuo awamu ya tatu na nne. Kama wewe ulipata chuo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwenye uelewa anisaidie jamani. Mbona ada zao kubwa tofauti kabisa na vyuo vingine vya diplomas? S/N Program Name Program Duration (Yrs) Tuition Fees 1. BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN...
1 Reactions
12 Replies
21K Views
Habari wanajamii, nina mdogo wangu anaumri wa miaka 20, akili yake haiko sawa, kila chuo tukijaribu kumpeleka anashindwa,ameshamaliza course mbali mbali kama mapishi,computer na ufundi lakini bado...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada kuna mdogo wangu alichaguliwa mkwawa univerty awamu ya pili course ya bachelor of education in science lakini leo natumiwa sms kuwa katika majina yaliyotumwa kwao...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Hivi kuna third selection za kwenda advance mwaka huu kama mwaka jana wakuu ningependa kujua?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Je kuna jambo fulani huliwezi tena yaani umeshalifanya mara zaidi ya moja linakushinda na ukasema hulifanyi tena hii inaitwa KUKATA TAMAA Umeomba kazi kila unapoomba unakosa na ukasema sasa basi...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Wanajamvi,awali ya yote tumshukuru muumba kwa yote hasa nyakati hizi za dhiki kuu.Nimekaa,nimetafakari na nikahitimisha kwa kujihoji mambo kadhaa ambayo yamo katika 'mwenendo wa somo la Lugha ya...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa ndugu zetu wote walioomba mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo tajwa, tafadhalini tazameni majina yenu katika nyaraka hii. Ifahamike kuwa hii ni awamu ya kwanza na mchakato Zaidi...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
1. Swali: Je, nitajuaje kama nimepata mkopo? Jibu : Tembelea tovuti ya www.heslb.go.tz ili kuona orodha ya waliopata mkopo. Tumia namba yako ya mtihani wa kidato cha nne uliyotumia wakati wa...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Samahani kwanza jaman hii post nimepost kimakosa ndio maana hada heading yake haijaka vizuri kwa kifupi ni hivi. Kuna vijana wengi tu waliomaliza mwaka huu ambao wameomba course SUA na wanavigezo...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
MPYA: MASWALI NA MAJIBU KUHUSU UTOAJI MIKOPO KWA 2018/2019
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina physics C chemistry B bios D olevel plus diploma pharmaceutical Science GPA 3.8 naweza pata Chuo kusoma Bsc pharmacy...???.. coz nimetishwa na kigezo cha olevel credit of bios and chemistry...
0 Reactions
5 Replies
840 Views
wakuu kwema, kam kichw cha habari kinavojieleza naomba msaada wa kuwasiliana na mwalimu.yoyote kutoka shule hiyo au ambae anaweza kufanikisha mimi kupata mawasiliano kutoka hapo naimani jamii hii...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Back
Top Bottom