Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu mimi nasoma course ya marketing and public relation NIT nipo mwaka wa kwanza.nauliza je nikimalza nnaweza kuomba kazi sehemu gani? na je hii course inadeal na nini?
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Kati ya bachelor of art in library and information studies na bachelor of arts in social work.Ipi ni bora kwa Tanzania yetu hii ya Mh.Magufuli
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni lini second batch itatoka kwa mtu wenye taarifa yeyote atujuze.Sie walala hoi shughuli ipo batch ya kwanza tumekosekana tunategemea round ya pili
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya sintofahamu ya hapa na pale iliyopelekea baadhi ya waombaji kufutwa kwenye udahili mpaka waziri ndalichako kuingilia kati hatimae wale wote 632 wamerudishwa bila masharti yoyote. list...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba mwenye joining instruction ya UDOM anisaidie mana mpaka sasa sijaipata na wamenambia nireport tu chuo hamna shida sasa mimi niltaka niipitie hiyo joining instruction. Mwenye nayo tafadhali
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari!! Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo, juu ..Board ya mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu ni siku ya sita leo tangu kutangazwa kwa wanufaika wa mikopo kwa awamu ya kwanza, bado hakuna...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Mafunzo ya addo mbona hayaeleweki jamani maana Tabora na MBEYA toka mwakajana wamesoma mpaka Leo Hakuna kinacho endelea watu hawajapata hata vyeti kulikoni labda kuna mtu anaelewa zaidi atusaidie...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Nimasomo gani yanafundishwa kwenye vyuo vya clinical medicine?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Applicants to Bachelor Degree: Mpaka leo hii majina ya selected applicants bado hayajawa released and uploaded kwenye website yao. List ya selected applicants eti ipo kwa msajiri, na...
17 Reactions
109 Replies
14K Views
Natumai wazima .leo nimekumbuka shule nilio soma o level kifanya sec school mkoani NJOMBE kama kuna member waliosoma pale kuanzia miaka 2000s tukumbushane hapa watu kama.Moses mfalanyombo,hospid...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
DIRISHA JINGINE UDSM: CHUO kikuu cha Dar as Salaam kitafungua dirisha jingine la maombi udahili kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga na Elimu ya juu mwaka huu. Akizungumza katika kipindi cha...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
.......Usisahau KUMPATIA 'Study Materials' zinazoeleweka kutoka kwa: muuzamaterials@gmail.com Sisi tumeamua kuunga juhudi za kuinua elimu kwa njia hii. Njia ya kuandaa vitabu maalum kwa mtindo...
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Samahani naomba kuuliza kwamba kuna uwezekano mwanafunzi akahama toka chuo kimoja kwenda kingine? kam uwezekano upo je n process gan zinabid zifatwe? Msaada tafadhari
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa yeyote anaejua utaratibu kwa sasa najua mda umeshapita kwaiyo kama nimechelewa naweza kupitia njia zipi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
leo majina yametoka kwa walioapply second round. Third round imeanza lep tarehe 24 hadi 26. Angalie ujue una confirm au ni third round.
0 Reactions
138 Replies
17K Views
Wandugu habari, naona vijana wengi wanauliza sifa za kujiunga na kozi za afya, mimi nitajikita kwenye ngazi ya cheti na sitashahada. Ili uweze kusoma kozi yoyote ya afya ngazi ya cheti lazima uwe...
1 Reactions
15 Replies
20K Views
Wakuu, NECTA wametangaza matokeo tayari. Kuyapata matokeo (kama yalivyotangazwa tarehe 18/02/2013), tembelea: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 - (Hosted by JamiiForums) Soma Pia Matokeo ya...
40 Reactions
349 Replies
299K Views
kumekuwepo ns uvumi kuwa kuna website ya watu wanaohitaji kwenda kufundisha somo LA kiswahili nchini afrika kusini, je kuna ukweli kuhusu uvumi huo... kama website IPO tunaomba iwekwe tujiusajiri...
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Habari bandungu ,..ningependa kujua ukweli kuhusu hili swala linalotapakaa katika magroup mbalimbali ya vyuo,, kuwa kutakuwa na ongezeko la hadi asilimia 60 ya pesa ya matumizi kwa wanachuo yaani...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
kwa mkoa wa Dar es salaam ni wapi naweza pata sehemu wanapo toa mafunzo ya umeme wa magari?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom