Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Taarifa fupi kuhusu wanaotaka kuomba MEDICINE UDSM
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale madogo mliokuwa mnasubiria awamu nyigine ya mkopo imetoka. Jaribuni kuingia kwenye account zenu.... ====== WANAFUNZI 11,481 WATANGAZWA AWAMU YA PILI YA MIKOPO 2017/2018 Bodi ya Mikopo ya...
0 Reactions
219 Replies
58K Views
Kwenye profile niko selected but kwenye majina ya waliochaguliwa sipo
0 Reactions
20 Replies
2K Views
jamani bodi ya mkopo mtawapa presha wazazi mitaani huku..yoyote alie na mwongozo kuhusu loan allocation status tunatakiwa kuripoti j3 jamani
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Na Abdul Nondo. Juzi tumeshudia bodi ya mikopo elimu ya juu,ikitoa idadi ya majina ya wanafunzi waliopata mikopo awamu ya kwanza,huku watu wasioelewa kuoneshwa kusifia bodi na serikali .ila...
5 Reactions
21 Replies
4K Views
Habarini wanajamvi, Mimi nina GPA ya 3.9 undergraduate, Niliapply Master of Education UDSM. Nimecheck matokeo naona wamenitema, Na wazoefu wadai si rahisi kutemwa kwa GPA hii. Kuna uwezekano...
0 Reactions
48 Replies
11K Views
Habari ya mapumziko Ndugu zanguni. Kwa siku kadhaa sasa nimejielekeza kutafuta kujua kama kunaweza kuwa na taasisi zinazojulikana kutoa ufadhiri wa masomo kwa ngazi ya shahada ya uzamivu (PhD)...
0 Reactions
4 Replies
909 Views
1.0. UTANGULIZI Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilianzishwa kwa sheria ya Bunge Namba 9 ya mwaka 2004 na ilianza kufanya kazi mnamo mwezi Julai mwaka 2005. Kwa mujibu wa sheria...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Wana bodi, nakumbuka wakati ule tulivyokuwa O-level wale walimu wa Hesabu na wale wanafunzi waliokuwa wanajua hesabu( kidogo, wastani, sana) walikuwa wanatudharau wale wanafunzi tusiojua hesabu\...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wadau wa elimu jukwaa hili limekuwa msaada kwa wanafunzi wengi sana wenye shida mbalimbali.baada ya tatizo LA code kuisha limeibuka changamoto ya asilimia ngapi MTU anapewa kutoka HESLB...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
wakuu habari kwa dar ni stationary gani ambayo inatoa copy kwa shilingi 50 au chini ya hapo, naomba nielekeze eneo na jina la stationary, asante
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujuzwa na wajuzi kuwa hi I colage inajumuisha course zip?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa anayejua selection za diploma awamu ya1&2 zinatoka lini naomba anijuze plz
0 Reactions
4 Replies
780 Views
Habari, kwa ambae anafahamu postgraduate selection za udsm 2018/2019 zinatoka lini.
0 Reactions
19 Replies
4K Views
*BREAKING NEWZ: NACTE YATANGAZA KUTOTAMBUA KOZI ZA NURSING ASSISTANT PAMOJA NA MEDICAL ATTENDANTS [18|09|2017]* *NACTE inataarifu UMMA kutojiunga na kozi Za _Nursing assistant &medical attendant_...
2 Reactions
31 Replies
17K Views
Kuna madogo wawili wamepata A,A,A,B, B mmoja kaandkiwa wastani wa "A" mwingine "B" na wote wamepata hizo alama katika masomo sawa. Karbuni kwa uafafanuzi wajuzi.
0 Reactions
82 Replies
9K Views
Mliochaguliwa MUCE karibuni sana. Tunajivunia hali ya hewa nzuri sana kwa masomo, mazingira tulivu, walimu wenye kujituma, library nzuri na mengineyo. Hakika hutajuta kuchaguliwa Mkwawa. Mpaka...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari wapendwa, naomba kujuzwa idadi ya Units za DIPLOMA IN COMPUTER SCIENCE na Unit moja ni shiling ngap. Thanks
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa selection za awamu wa 1&2 zatoka lini kwa upande wa diploma
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Katika udahili wa vyuo unaoendelea sasa hivi kuna mambo mengi ambayo ni ya ovyo na yanaibua maswali mengi sana. Wiki jana wanafunzi zaidi ya 600 waliokuwa wamechaguliwa. UDSM awamu ya 1 hadi 3...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom