Wadau naweka bandiko hili kuomba mawazo ya kujitosheleza kuhusu course hii hasa inayotolewa ktk taasisi ya usimamizi wa fedha (IFM) iliyopo jijini Dar es salaam! Ili nami niweze kutoa ushauri...
Swali:Je, kuna uhusiano wowote kati ya wasomi sana na socialization?
Kumekuwa na dhana kwamba watu wenye elimu kubwa mara nyingi wanaonekana kuwa ma anti-social.
Nakumbuka hata shuleni na vyuoni...
MATOKEOSTD7: Shule ya Msingi ya Sirajulmunir ya Kiwangwa, Chalinze mkoani Pwani ambayo imeongoza kwa ngazi ya Mkoa wa Pwani katika matokeo ya Darasa la Saba 2018.
Kama heading ya uzi unavyojieleza hapo juu.
Mimi ni miongoni mwa wahanga wachache wa hiki tuliotuma maombia direct Nacte baada ya kutokea matatizo katika a/c za vyuo tulivyoomba.
Ningependa...
Wakuu samahan ,kama kichwa cha habar knavosema km kuna mwenye ujuz kuhusiana na soko la course ya bachelor of veterinary medicine ,nlikuwa naomba anifahamishe
Hello jf members! Ni matumaini yangu mko safi kabisa na mchakato wa katiba. Maana hili ni jambo zuri na la maendeleo kwa watanzania 2liokuwa 2naonewa sana kwa miaka mingi. Napenda kutoa rai kwamba...
Wakuu salam.
Tujuzane kusoma diploma in nursing, ni fursa gani zinapatikana kutokana na course hiyo husika? vipi ambao tayari mmeshasoma ni changamoto gani mnakutana nazo huko makazini?
Na kwa...
Habari wana JF, naomba mwenye uzoefu na suala hili abambie, inasemekana kama Uki carry course kwa wale wenye mkopo boom linazingua saana? Naomba mwenye uelewa na hili anambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.