Endapo umekuwa ukisumbuka kwa muda mrefu kutafuta mtu au sehemu kwaajili ya kujifunza lugha ya Kiingereza bila kuathiri ratiba yako ya kila siku, basi Uzi huu unakuhusu.
Karibu ujiunge na darasa...
FROM THE OFFICE OF THE RECTOR
The National Institute of Transport (NIT) is a public higher learning institution located on west of Dar-es-Salaam City, along Mabibo Road in Ubungo Light Industrial...
awamu ya nne ya udahili wa wanafunzi vyuoni kwa ngazi ya shahada 2018/2019
itatoka lini? maana hii ndio awamu ya mwisho inasemekana wanafunzi wote ambao bado awajapata vyuo watapata wote kweli?
Jamani habari ya loan allocation ndio kusema kwamba mchanganuo utajulikana ukifika chuo au heslb watatuma kwenye account za applicants. Mwenye taarifa tafadhali tujuze au hata kama kuna loan...
Naomba nianze kwa kuwapongeza wale wote mliochagua na mkachaguliwa kusoma chuo cha taifa cha usafirishaji NIT. Natumia nafasi hii kuwakaribisha chuoni kwani leo ndio siku ambayo registration...
Za wakati huu wakuu, Nina mdogo wangu, kwenye majina ya wanufaika wa mikopo 2018/2019,Iliyotolewa na Bodi, HESLB, Jina lipo, Ajabu leo kwenye Majina yaliyotumwa chuoni kwake, SUA, Jina halipo.Hii...
Kwa mtazamo wangu tabora boys ni shule ya vipaji maalum inayopotea na zisipofanyika juhudi zozote zile za makusudi baada ya miaka mitano hii shuke itapotea katika chati na i think kisimiri ni...
Kwa wale wanaopenda kusoma tunawajulisha kuwa mwalimu wa kufundisha kozi mbalimbali za IS Audit, security, risk assessment and risk management, conrols,governance, Value for money Audit...
Ninapenda nisome master's ya Automation and industrial control lakini kwa vyuo vya hapa nyumbani hii kozi haipo.
Sasa nimeamua nisome kozi mojawapo kati ya hizo kozi tatu nilizozihorodhesha hapo...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza ya majina ya wanafunzi 25,532 waliopewa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/19. Mkopo huo una thamani ya TZS Bilioni 88.36...
Haya kile kilio cha wanahitimu wengi wa PCB kuachwa katika maombi ya chuo... tena wengine wakiwa na ufaulu mzuri kuanzia Div 1 ya point 8,9,.. Div 2 ya point 10,11 na kuendelea sasa kimepata...
Naombaa kuulizaa jaman ,,majina ya watahiniwa walio’omba vyuo vikuu bado hayajatoka mpk xx!!? Na kama kuna hata chuo kimoja kilichotoa bac naombeni link,ahsanteni[emoji1317]
Wana jf msaada tafadhsli, Nina ndugu angu anayo degree ya geology ila ambition yake ni kuwa mwalimu , akiweza soma postgraduate ya education anaweza ajiliwa na serikali yetu kama mtu mwingine...
Hallo wana-Jf,
Nina mdogo wangu amefauli kidato cha Nne na kupangiwa Mchepuo Arts(HGK). Yeye binafsi anataka asomee Mchepuo wa Sayansi(PCB) kwani hata hiyo Combi amepasua Pia.
Ninaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.