LG Nexus G internet terrible
Hotspot terrible
WiFi terrible
Battery terrible
Simu inaboa kinoma inapoteza network kila muda. Internet e tena baada ya kufanya setting zote. hakuna chip imewahi...
VIJANA WA KIDATO CHA NNE MNAOELEKEA KUFANYA MITIHANI YENU YA CSEE
Jumatatu ya tarehe 05/11/2018 vijana wetu wanaelekea kufanya mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne (CSEE), Kama miongoni...
Hamjambo humu wataalamu.
Kwa wale mliopata udahili wa Masters degree ya chuo cha Mkwawa, Iringa naomba tujuane. Pia kwa wale mnaokifahamu chuo vizuri tunaomba experience ya mazingira ya chuoni...
Habari,
Nina ndugu yangu wa kike (DUCE) kapangiwa chumba Mabibo Hostel (kqona jina lake leo alivoripoti) na tayari keshalipia chumba nje ya hapo hivyo hatokitumia chumba alichopewa na chuo. Kwa...
Chuo kikuu cha Dar es Salaam kimepata pigo lingine baada ya kuondokewa na Professor wake mahiri katika mambo ya Chemia. Ukweli alikuwa bingwa sana katika eneo lake na alishasimamia wanafunzi wengi...
PART A: MAISHA YA CHUONI
habarini wadogo kwa wakubwa kutoka JF:
Napenda kutoa Yale ya moyoni niliyonayo ambayo kwa namna moja am a nyingine yanaweza kuwa fundisho kwa watakaguswa...
Maisha ya...
Jamani bodi ya mkopo mtuhurumie sie maana semister jumatatu ndio inaanza na hadi saivi kuna baadhi ya vyuo havitupokei kwa sababu hatujajua hatima yetu kwenu. hivyo tunaomba mya post ayo majina...
je kama sikusoma masomo ya biashara advance accounting itaniwia ngumu??ila nilisoma commerce na book-keeping o-level, advance nlisoma hgl.. :help::help:
Habari wakuu.Naomba msaada,Ushauri wa namna ya kupata Ufadhili wa masomo..Nimepata admission ya kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es Salaam fani ya Master of Business Administration inayoanza mwezi...
Nimechaguliwa kusoma Bachelor of science in aquaculture and aquatic science, nataka nibadili course nisome Bachelor of science in biology, naombeni ushauli wenu zote sijazijua vizuri!!
Wakuu habari.
Mwenye uelewa kuhusu degree ya Art in environmental economics and policy
Naomba anfahamishe tafadhar inahus zaid nn ?,na baada ya kuwa nayo matumiz yake makubwa ni yapi?
habari zenu
wadau wa elimu na wote wenye uelewa juu ya hii mikopo ya heslb ,nina rafiki angu amemaliza form four mwaka 2009 akaenda elimu ya kati hadi diploma na alipoomba mkopo alichaguliwa batch...
Kama ilivyo hapo kwenye heading Naomba msaada kidogo wakuu hapa
Nashindwa kuelewa Haya madaraja ya GPA ya vyuo vikuu yakoje,
Mfano first class inaanzia ngap mpaka gap , second class n. k
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.