Wanajf natumaini hamjambo! Naomba kujuzwa kuna MTU aliifanyia lamination doc fulani kimakosa. Je kuna njia yoyote ya kuweza kuondoa lamination bila kuharibu original document?
Naombeni ushauri wenu nimepiga diploma ya education geog na eglish ila nimechaguliwabachelor ya business studies with education vipi economics na commerce haitanisumbua?
Nimepngiwa hostel za mabibo ila nataka chumba magufuli. Anawetaka kubadilishana au kuniuzia magufili anitafute....kwa whatsapp 0744886096 au anipigi kwa +255 625 569 701
Nimepngiwa hostel za mabibo ila nataka chumba magufuli. Anawetaka kubadilishana au kuniuzia magufili anitafute....kwa whatsapp 0744886096 au anipigi kwa +255 625 569 701
Hawa wakuu wa shule wakishirikiana na afisa elimu sekondari pamoja na afisa taaluma wa manispaa ya Bukoba wanatumia vibaya ofisi ya serikali kwa kuwabagua walimu wasio wazawa wa Bukoba.Kila mwaka...
Professor G Mmari ndiye aliyeanzisha Open University from scratch na akawa The First Vice Chancellor na baada ya kustaafu Prof Mbwette alichukuwa usukano! I stand to be corrected.
Hivi mfano mtu ukasoma Uganda hivi akitaka kufanya kazi Tanzania ya hili course wataangalia GPA zake au wataangalia nini?? Kwa maana kuna mtu ameniambia ukisomea nchi kama uganda eti unakuwa...
wana jopo kwanza nitoe pongezi kwa mawazo yenu na michango yenu katika mada mbalmbal humu ndani
lakin pil niwasilishe ombi langu ili tuweze kumsaidia kijana mwenzetu ambaye alipatwa na matatzo...
Hellow bosess'
wakuu, ukiacha na sababu nyingine ni kozi gani nisome ngazi ya degree na baadae master niwe na posibility ya kufanya kazi BoT au wizara ya fedha na mipango??
Kwa wale waliosoma SAUT Mwanza. Foremost Education, nan anamuelewa Mr.Basil kwa wana Linguistics, na Mr.Sijjo kwa education measurement. Mmoja alitutesa sana kwa sababu alimpenda demu kwenye group...
Habari! mimi ni mdahiliwa katika chuo kikuu cha Dar es salaam,nimepangiwa mabibo hostel, nataka mtu wa kubadilishana naye mimi niende campus hall yeye aende mabibo, Asante.
Kuwa kiranja shule ya msingi enzi hizo ilikua raha sana maana inapewa heshima kubwa sana na wanafunzi pia walim. Ilikuwa sikosi pesa ya kula wakati wa break sa nne nkiwa na kampani kubwa full ulinzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.