Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wana jf, Kichwa cha habari chahusika, Leo naomba nitoe pongezi zangu za dhati kwako na wasaidizi wako kwa ujumla kwa kufanikisha kuwakamata na kufuta matokeo kwa baadhi ya shule katika...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Loan Board baada ya kutoa ile list ya waliofanikiwa kupata mkopo. Wakaweka tena vigezo vingine kwenye allocation. Kwenye kuallocate wanasema wameweka kigezo cha unatakiwa elimu yako ya sasa iwe si...
3 Reactions
43 Replies
5K Views
Tafadhali hebu tuzungumzie changamoto za mfumo wetu wa elimu kuanzia mwanzo mpaka pale wanasema elimu haina mwisho...
0 Reactions
1 Replies
610 Views
Naomba kufahamishwa namna naweza kufanya maombi pasina kufika makao makuu Dodoma au Dar es Salaam ili kupunguza gharama za usafiri ili nijaze fomu nikiwa mkoani. Kwa yule anaetambua au aliyewahi...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habri Za muda huu, Zingatia mada husika. Mwenye vitabu hivi ningependa anisaidi ili niweze kuvisoma.:- Siri ya Sifuri, Mzimu wa watu wakale, Mke mmoja waume watatu, Mzimu wa watu wakale na Kivuli...
1 Reactions
0 Replies
656 Views
Habari zenu wana jf,hiv kuna awamu ya Tatu kutoka heslb?kama ipo, mwenye ufahamu atwambie inatoka lini maana hali ni tete na Leo bwana mpango kasema uchumi umeshuka Asanteni
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Habari wanajukwaa,Tafadhali naomba msaada kwa mwenye notis za Education Psychology za level I katika softcopy anisaidie
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu hivi loan batch ndo teyali zimeisha ? sisi watoto wa mamantilie tutafutege mashamba mapema
0 Reactions
2 Replies
566 Views
wakuu naomba mnisaidie kunitajia vyuo vya afya vya private katika clinical officer na medical labaratory technology
0 Reactions
44 Replies
31K Views
Husika na mada hapo juu,naombeni ushauri juu ya masuala ya chuo Nimechaguliwa kujiunga chuo cha NIT na usajili unaishia tarehe 11 lakini sijafanikiwa kupata mkopo . je nifanye nini kuinusuru...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
01: Laboratory assistant , Hii kozi inatolewa na VETA ina soko kweli la ajira ? na unasomea nini ? unaajiriwa kama nani ?? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
8K Views
PONGEZI NYINGI KWA NECTA KWA KUFANYIA KAZI MAONI YANGU KUHUSU UDANGANYIFU WA MITIHANI KWA WILAYA YA TUNDURU,hii italeta fundisho ,wanafunzi watasoma kujiandaa na mitihani na si kwa njia za mkato...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefuta usajili wa kituo cha chuo kikuu kishiriki cha kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) na kuamuru wanafunzi wote wanaoendelea na masomo wahamishwe...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetoa orodha ya Awamu ya Tatu ya wanafunzi 7,901 wa Mwaka wa Kwanza waliofanikiwa kupata mikopo na hivyo kufanya jumla ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza...
3 Reactions
222 Replies
59K Views
Ndugu zangu me ni nasubiria kwa hamu uhamisho aliye na chanzo rasmi kuhusu uhamisho wa watumishi mbalimbali. Uhumisho ukitoka sept ulielekeza mwisho October sasa mpaka leo kimya. Aliye na detail...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari.. Mpaka sasa naona bado wizara imenyamaza haitoi tamko lolote kwa sisi ambao tumechaguliwa mwaka wa masomo 2018/2019 kuwa tunaanza kuriport lini mwenye taarifa yyt naomba anijuze
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kwa frst year uliopo mazimbu uliyepata hostel za ndani naomba tusaidiane unibebe ,,mm nitatoa ela yotee..
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Nataft chumba karib na sua main campus
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Asilimia zaidi ya 90 ya wanafunzi walioomba mikopo wapo katika sintofahamu juu ya hatma yao ya elimu.ukizingatia vyuo vimeshafunguliwa, Kama kuna taarifa yoyote rasmi toka bodi tujuzane wadau...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom