Katika hali isiyo ya kawaida watoto kutoka familia masikini ndio hasa wamekuwa waanga wakubwa na wameathirika pakubwa na suala zima la kukosa mikopo ya elimu ya juu.Nakumbuka maneno ya rafiki...
Mpka leo hii vyuo vimeshafungua lkn hawa bodi ya mikopo hawajamaliza kutoa majina ya wanafunzi waliopata huku baadhi ya vyuo vikiwa Tayari vimeshaanza kufundish na baadhi ya kozi topic ya kwanz...
Habari Wana JF
Nilikuwa naomba kujua clinical in medicine diploma ni miaka 3..
Lakini kwa certificate bado inanichnganya private wengine wanasema miaka 2 wengine 1
Hata government 1 wengine 2 asa...
Wakuu wazima,
Maisha yanatembea kwa spidi sana, enzi hizo boarding schools zilikuwa ni sehemu ya mafunzo ya maisha mtaani, yaani ukipiga miaka minne boarding basi tayari una cheti cha kupambana...
Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote...
Usangi Girls Secondary school ni shule nzuri ya wasichana ilioko kilimanjaro wilaya ya mwanga ni shule ya kanisa la kilutheri na inawalimu wa kutosha na maabara za kisasa na computer za kisasa...
Tangazo hili la mahafali limesainiwa na makamu mkuu wa chuo .Linaonyesha idadi kubwa ya wahitimu watarajiwa wa kike kuliko ile ya wanaume.Je lina ukweli ? Ukilitazama jedwali la wahitimu katika...
The length of a rectangular prism is quadrupled,
the width is doubled, and the height is cut in half. If V
is the volume of the rectangular prism before the
modification, express the volume after...
Habari wakuuu
Kuna mtoto wangu hapa wa 5yrs nahtaji kumpeleka Kenya akasome kwa level ya primary kwa sababu mm npo mpakan tu huku so naona its better nkampeleka Kenya apate angalau chochote...
HABARI ZENU
katika pitpita zngu za kutafuta scholaship ughaibuni nimekua nikikutana na hii kit. maombi yaambatane na cheti cha ujuzi wa kiingereza cha IELTS
suali cheti cha IELTS...
Naomba yeyote anayeweza kufundisha Quickbooks kwa Gharama nafuu tuwasiliane HARAKA.
Mtu yeyote anayeweza kuelewesha na kueleweka anafaa kwa hili zoezi.
Kama unamfahamu yeyote ,tuwasiliane mapema...
Jf ni zaidi ya google hilo halina mjadala. Kozi tajwa japo juu inatolewa na Open University of Tanzania binafsi naiona kama ina future nzuri kwa maana ya kuona neno "ENERGY" na sio zaidi,wakuu ebu...
Baada ya kufuta Central Admission System (CAS) na kuweka uombaji wa vyuo moja kwa moja chuoni (Direct Application to Institutions-DAI) naamini sasa tumepata uzoefu unaotuwezesha kufanya tathmini...
Poleni na majukumu wakuu,kama thread title ilivyo hapo juu naomba kuuliza hii kozi ya environmental engineering inahitaji requirements gani ili uweze kuisomea?
Kama kuna first year aliyepata room mazmbu naomba tushare cost unibebE mwana jf mwenzako,, 0754350882,,, nitalipa ela yote uliyolipaa ww... Usitishwe na mkwara.
Hivi karibuni kumekuwa na fungia fungia ya vyuo vikuuu vya binafsi kwa kasi ya ajabu. Ina maana hakuna vyuo vya umma visivyokidhi vigezo,kanuni ,sheria na taratibu za uendeshaji? Tuwe wakweli ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.