Wadau poleni na kazi. Jamani kama kuna mtu aliomba nafasi ya kazi katika shirika la save the children tanzania week tatu zilizopita na anajua status yake kama wameitwa interview au la maana...
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, katika hali isiyo ya kawaida, mtihani wa taifa umefunguliwa katika shule ya sekondari ya wasichana Mtwara (Mtwara Girls) kabla ya siku ya mtihani huo. Kwa...
Na Mwandishi wetu - Imechapwa 01 February 2012
WATOTO wawili wa Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa wahitimu wa vyuo vikuu waliotangazwa kama wadaiwa sugu wa mkopo wa elimu ya juu uliotolewa...
Chama cha kutetea haki na masilahi ya walimu tanzania (CHAKAMWATA) kinawakaribisha walimu wote kujiunga na chama hiki kipya chenye nia nzuri ya kusimamia masilahi ya walimu tanzania. Sisi...
Tafadhali naombeni msaada,
Anayefahamuvizuri shule ya Alfagems Morogoro anisaidie mawasiliano ya shule au hata namba za mwalimu aliyeko pale ili niweze kuwasiliana nae kupata taarifa na muda kwa...
jaman wapendwa naomba msaada mimi nli apply maombi ya ajira ya afya katika second round iliyotangazwa nazan ilikuwa n mwez wa kumi mwanzoni vp bado hawajatoa matokeo na kama bado wanaweza towa lini???
Jana Naibu Waziri Mwanjelwa alizungumzia kuhusiana na kazi waliyopewa wizara kuzungumzia hasa ajira ya 2012 kuwepo na upandaji wa madaraja kwa utofauti mkubwa sana . Majibu yake yalionesha wazi...
Habari za siku wana jamii forum wenzangu mimi ni mwalimu by professional hivo imenibidi nihangaike huku na huku kutafuta vitabu na mpk sasa namshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kupata vitabu muhimu...
Tanzania Tanzania Tanzania nakupenda nchi yangu hii ndo nchi ambayo mtoto wa masikini ata afaulu kuendelea na masomo ya elimu ya juu ni ndoto za abunuasi na alinacha hii ndo nchi ambayo watoto wa...
Salaam JF,
Baada ya kushuhudia kongamano ya Uchumi? chuo kikuu cha Dar Es Salaam ( UDSM ) wiki iliyopita na kujionea yaliyotokea nadhani kila mwenye akili timamu amepatwa na bumbuwazi !!
Sasa...
Kwa waalimu wa somo la kiswahili, nipende kuwa fahamisha kua!! Tamthiliya ya kitabu cha kilio chetu sasa inapatika katika CD (movie)
Hii itakurahisishia zadi wakati wa ufundishaji, kwani watoto...
Nakumbuka wakati nachagua vyuo nilikiweka cha mwisho kwenye choice 12 uku nikiwa nimejaza education kwenye vyuo mbalimbali nilivyochagua ajabu selection zinatoka nakuta nimechaguliwa bachelor of...
Za Weekend,
Jamani Mie naishi Sinza,
Natafuta shule maeneo ya Karibu, yaani Sinza, Kijitonyama, Makumbusho, Ubungo, Mwenge, Magomeni, Kinondoni, etc,
Mtoto anaingia Darasa la Kwanza Mwakani,
Shule...
Ndg members,
Naomba kuuliza ni kwa nini hakuna nembo ya TBS kwenye vifungashio vya sabuni ya unga? Je, bidhaa hiyo haikaguliwi na maamlaka yoyote ya serikali kama TBS au GCLA?
Je, ukimya huo...
Mwenye uelewa wa jinsi ya kubadili kozi anisaidie.nimesoma hgk Nataka nishift kutoka bachelor of arts in archeology kwenda bachelor of arts in library and information studies nipo udsm mwaka wa kwanza
Ebwana vipi Kupitia YouTube nimeamua kufungua kaChannel kangu kanachohusu Tech....yaan matatizo yote ya Technology kuhusu simu yako na Web kiujumla.
.
Leo nataka niweke video 5 za Mwanzo lakini...
Wassalam
Bila kuchelewa naomba niende moja kwa moja kwenye mada hisika
Nilikua nauliza washkaj wowote wanaochukua certificate of computer science and information technology at IFM wanipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.