Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
.. .....
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu zangu mabibi kwa mabwana mlochaguliwa chuo cha ushirika moshi(SUA ) napenda kuwapongeza sana kwani ni sehemu sawia kabisa wala haujakosea njia, muccobs ni chuo kigumu kimasomo,mfano kwa...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Katika pic hiyo niliyo attach hapa inajieleza kabisa kuwa unasemekana matokeo ya clinical medicine ya mwaka 2018 mwezi wa 8 yanafanyiwa uhakiki na NACTE sasa sijajua uhakiki huo umefikia wapi? Na...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari za mchana wana JF. Hivi ikitoka kwa mtu ambae hajafanya malipo ya NACTE EXAM FEES baada ya deadline kuisha kuna utaratibu gani utatumika ili kuilipa iyo pesa? Niko ktk wakati mgumu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanajukwaa wezangu mimi nimemaliza kozi ya nursing certificate mwaka huu matokeo yametoka nina GPA ya 3.3 nilikuwa nauliza je hapo naenza kuunganisha na diploma alaf ufaulu wangu...
0 Reactions
2 Replies
671 Views
toka nikiwa o level huu ndio msemo maarufu wa wanafunz was vyuoni, basi na mm nikaingia nikijua chuo bata, but within 3 weeks sijaona bata zaidi nawaza kuongez msuli zaidi ya advance. Hebu...
4 Reactions
68 Replies
9K Views
Kichwa cha habar chahusika, nauza research proposal zifuatazo ( for serious buyer only * "ENVIRONMENTAL & HEALTH IMPACT OF SOLID WASTES DISPOSAL ON THE GROWING CITIES" * "IMPACTS OF GRADE...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu? Wakuu nauliza shule ya wali ul asr seminary iko wapi kutokea UBUNGO? Na unapanda magari yapi kufika? Na Ada yake shingap??
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Wanomajor English nauza research yang ya eng research project . Wanaosoma sociology of edn nauza research yenye title "the role of teacher in classroom management in sec school,(case study...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hiv hawa bodi wanatumia vigezo gan kutoa mkopo? Na sifa zipi? Maana leo wametoa batch ya nne inasemekan ni ya mwisho wakat cha kujiuliza ni bajeti iliyotengwa mwak huu ni zaidi ya billion 400 na...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kama kuna Mtu hapa anaijua tafadhali aiandike ili niweze Kumpatia Mdogo wangu nae atiririke na aserereka nayo Kitaaluma. Natanguliza Shukran zangu kwa wale watakaonitumia. Nawasilisha.
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Poleni na majukumu wa ndugu! natamani kurudi shule nikasome kozi moja wapo kati ya hizi: 1. postgraduate diploma in land management 2. postgraduate diploma...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Msaada tafadhar,,,nmesahau password niliyotumia kuomba loan toka juzi najaribu kuappeal najaribu inagoma...nikiweka email pale kwenye forgot your password inagima pia naomben mwenye number ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimesikitishwa sana na habari nilizozipata kutoka kwa wanafunzi wanaosoma katika vyuo hivyo pale waliponieleza kuwa kuna baadhi ya wanafunzihuwa wanafaulu mitihani yao ya mihula kwa kuhonga Pesa...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Udahili awamu ya tatu majina yanatoka lini
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Zipo hostel kwa ajiri ya watoto wa kike 2 zinapatikana kwa bei nafuu sana karb kwa wale wanaohitaji.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu mko vyema?!!! Kwa yeyote mwenye link ya vitabu vya free au anaefahamu namna ya kupata vitabu kwa njia ya software ambavyo ni free kuvipata naomba anielekeze tafadhali.Lakini vyema zaidi kama...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa? Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu huria mwaka wa pili. Lakini nilikuwa ninasoma bila ruhusa ya mwajiri na nilikuwa ninasomea fan nyingine tofauti na ile niliyoajiriwa. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za saizi naimani mko poa kama ID yangu inavyo jieleza niende kwenye mada last year nilikuwa nasoma kwenye collage flani mbeya sasa kulitokea upotevu wa vyeti vilipo kuwa vinaenda kuhakikiwa...
1 Reactions
1 Replies
746 Views
Habari Jf, mwenye vitabu vizuri vya programming(soft copy)ani saidie wakuu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom