Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jaman admin. Kwa mtu anayefaham vyuo vya serikali vinavyo offer diploma ya laboratory technician msaada plz!!
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Naomba kuuliza jinsi ya ku apply vyuo vya afya kupitia NACTE.
0 Reactions
10 Replies
14K Views
habar wana jf naweza sema wazazi/ndugu wamekuwa wavivu kufanya bidii ya kutosha kutafuta pesa ili vijana wakasome elimu ya juu kwa kutegemea mikopo toka serikalini binafsi nachukia sana mikopo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
What is labelling in context of educational psychology??
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Je nakuaje kwa mwanafunzi aliyefanya transfer kutoka chuo A kwenda chuo B, ikiwa allocation ya mkopo wake upo chuo A alichohama? na inachukua muda gani mkopo kuhamishwa kwenda chuo B alichohamia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tumedahiriwa vyuo vikuu fulani nchini vyenye ada kubwa kuliko 3,1 mil tunayolipiwa na Loans Board kama mkopo, lakini tumesimamishwa masomo Kwa muda usiojulikana eti Kwa kosa la kupungukiwa kidogo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini Tanzania imetoa awamu ya nne kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2018/2019 ambapo majina na allocation tayari yametumwa vyuoni. Mpaka kufikia leo tarehe 18...
0 Reactions
44 Replies
10K Views
Habari wana JF, in matumaini yangu kuwa ni wazima. Nina mdogo wangu kamaliza form 4 na ndoto yake no kuja kusomea udaktari yaan MD ila tatzo n kuwa Physics hakupiga yaani, japokuwa matokeo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kesho, November 27, 2018, Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa Dr John Pombe Joseph Magufuli atakuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa maktaba mpya na ya kisasa kabisa kuwahi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
msaada jamani jinsi ya kuandika barua ya uhamisho. Idara ya sec. Pia naomba na pobox la tamisemi dodoma
0 Reactions
11 Replies
7K Views
1.Bachelor of business administration in acount 2.Bachelor of business administration in market 3.Bachelor of Business administration in management
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau, habari za majukumu,, Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna mdogo wangu kaniomba pesa kiasi cha Tsh120,000/= Kwa ajili ya kuhudhulia mafunzo ya kujifunza stadi za kufundisha lugha ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wana jamvi mimi naomba ushauri na msaada juu ya namna ya kupata kituo cha mtihani hapa Dar es Salaam na shule zipi zinazo toa huduma hii na gharama
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019 kuwa imetoa orodha ya Awamu ya Kwanza yenye jumla ya waombaji wa mwaka...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Wadau mwnangu kapangiwa pale mweka wildlife college na SAUT mwanza. Ki ukweli sikuwahi kusikia chochote kuhusu hivi vyuo na courses zake. Mtoto ndo kakomaa na wildlife ya mweka huko mwanza hataki...
2 Reactions
54 Replies
11K Views
Naomba kujua ada za coarse ya clinical medicine kwa vyuo vya serikal ukiapply kupitia NACTE
1 Reactions
9 Replies
32K Views
Jamani samahani nilikuwa naomba mwongozo na kutaka kufamu kiundani zaidi kuhusiana na kurisit mtihani wa kidato cha 4
1 Reactions
40 Replies
16K Views
kwa mwenye uelewa tafadhali anisaidie.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
heslb yaongeza siku mbili hadi tarehe 27 novemba,2018.....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom