Wakuuu Kama kichwa kinavyojieleza ni kwamba naomba mnisaidie Aris yangu inafail kufunguka kila nkijaza username and password but still haifunguki litakuwa nin tatzo?
Huu mfumo wa kuappeal mwaka huu ni kama kiini macho!!!! Kwanza password za wengi ziligoma na hata walipobadilishiwa password, verification status ya viambatanisho ilikuwa ni pasua kichwa. Muda...
Habar kwa wale watumiaji wa Vodacom nmeona kuna watu wanasema kua wnaweza kuunga kifurushi ka hiv WEEKEND SASA, TUNAPOFURAHIA MWEZI MPYA HEBU TUPITIE HII👇👇👇
GB60 MIEZI 6 VODA!!
GB60 MIEZI 6...
MSAADA ELIMU KWA YATIMA
Kama kuna mtoto yatima anayeasoma Chuo Kikuu chochote Tanzania na amezidiwa na shida ya ada na gharama nyengine za Masomo kiasi cha kulazimika kuacha Masomo, mwambie atume...
Salaam wakuu,
Ninaomba msaada kwa wanaofahamu juu ya ada za shule hizi kwa elimu ya msingi (mtoto wa kuanza darasa la kwanza).
- Hazina International
- Feza Schools
- Ali Hassan Mwinyi Elite...
Habar zenu wana jamii forum;
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika chuo Makerere Uganda.Nasoma Bachelor Degree ya Biomedical Engineering.
Ningependa mnisaidie Makampuni ambayo wataweza...
Certificates from foreign examination bodies for Ordinary or Advanced level education should be verified by The National Examination Council of Tanzania (NECTA) and National Council for Technical...
nimepata udhoefu kwa baadhi ya wanavyuo wenzangu toka UDOM,UDSM,WALIOSOMA TEKU,SAINT JOHN na baadhi ya vyuo.KOZI NYINGI KWA SEMESTER NI KATI YA 9 NA KUMI
Sasa saut mbeya center wanaosoma semester...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawafahamisha wanafunzi wote wa taasisi za elimu ya juu kuwa leo, Jumatano, Novemba 21, 2018 imeanza kupokea rufaa za mikopo kwa mwaka wa...
Nimekumbuka UDSM philosophy club na kutafuta debates zake kwenye YouTube na kukuta hizi clips mbili, na kupigwa na butwaa kwani sioni uhusiano wa nilichotazama na philosophy/ philosophical debates.
Mwalimu Waziri Dkt. Kigangwalla aliandika mahala namnukuu..." In few past weeks "
Mwalimu Rais kuna mahala nae aliandika hivi namnukuu..." In the past few weeks "
Binafsi nimetokea ' Kuvutiwa '...
SALAMU NYOTE
Moja kwa moja kwenye mada.
kwa muda mrefu kumekua na kilio ya kua Waafrika tuliowengi hatuna utamaduni wa kujisomea (na kwahakika huu ni ukweli). Lakini suali kubwa hapa jee utamaduni...
Wadau habari!
Naomba kuuliza kwa anaejua shule ya msingi kwa Dares salaam ambayo ada yake haizidi milioni moja(chini ya milioni moja)naomba anifahamishe,maana vyuma vimekaza,tukikomaa na ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.