Wanajukwaa naomba kuuliza kuhusu kurudia mtihani wa kidato cha nne je
Je? ukirudia mtihani ukapata credit moja na ukataka kurudia tena utatumia namba ipi ya mtihani na je ukirudia unapewa cheti...
Habari zenu wakuu,
Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kuwa hai hadi muda huu na mema mengi anayozidi kunitendea katika maisha yangu.
Wakuu ,mimi ni muhitimu wa kidato cha sita 2017...
Habar zenu wakuu naomba wasomi wa certificate ya IT kwa open university kuanzia 2016 hadi batch hii ya 2018 tukutane hapa tuangalie namna ya kusaidiana kimasomo
Natanguliza shukran....
Kama kuna kitu kinakosekana katika taasisi zote za kiswahili ni kushindwa kuwaenzi waandishi mahiri kabisa waliotikisa viunga vya Afrika Mashariki kwa masimulizi yenye kuchetua nyoyo za wasomaji...
Habarin zenu wanajamvi natumai mko poa kwa wale ambao hali Si nzuri basi Mungu awafungulie njia.
Niende kwenye mada naomba kuuliza wakuu hiv Nacte wanaangalia vigezo gani haswa?? Nmeomba vyuo vya...
Antikythera Mechanism: Scientists Crack Secrets Of 2,000-year-old Astronomical Computer
ScienceDaily (July 31, 2008) Cardiff University experts have led an international team in unravelling the...
Welcome Mpella Education Blog for more educationl resources.
T H I S T I M E T O M O R R O W
SETTING: KENYA AFTER INDEPENDENCE-
UHURU MARKET IN NAIROBI CITY.
PLOT SUMMARY
The whole play is...
Wakuu habari zenu!
Naomba kusaidiwa kimawazo kwa wale wenye ujuzi wa fani za kusomea kwa mtu aliyemaliza diploma ya Clinical medicine tofauti na MD(medical doctor) na AMO( Assistance Medical...
Habar za mdahuu wakubwa,,,
nnaomba kuereweshwa vizuri utaratibu wa kurudia mtihan wa kidato Cha nne ni lazma kurudia masomo yote!??
au unaweza rudia hata somo moja!???
Mie mwanafunzi wa Master niko kwenye hatua ya kuandika research proposal ila changamoto ninayoipata ni namna ya kupata relevant literature review! Ninahisi labda sina searching skills. Nimetumia...
Ni mji gani una majengo ya kifahari na jina la mji huo ni kifaa kitumikacho MSIKITINI NA KANISANI na vile vile jina la mji hilo ni jina la msanii wa BONGO MOVIE.
Tafadhali wakuu wangu naomba...
Habari za Leo Wanajamii Forum ,Naomba kwa wote ambao mpitia interview za Utumishi ,Mtusaidie basi kuhusu maswali yanayoulizwa kwenye interview za utumishi kada ya procurement ,Vyeti gani ni muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.