jamani hichi chuo mie sikielewi nimesoma short course ila nashangaa cheti nilichopewa kimeendikwa university of computing center limited hivi hiki chuo na udsm wana uhusiano gani
Naombeni msaada kwa mwenye kufahamu shule nzuri katika wilaya ya Temeke,
Namaanisha kitaaluma na maadili. Pia ukinidokeza na gharama za ada nitafurahi.
Huko waliko nataka kuwahamisha maana kila...
KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY - DAR ES SALAAM.
Chuo kinatoa mafunzo ya Elimu ya juu, kuanzia ngazi ya certificate, diploma, degree na Masters... kwa kozi za
AFYA
ELIMU
SHERIA
BIASHARA
COMPUTER...
Naombeni msaada wa mawazo. Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wakwanza wa chuo kikuu Dodoma (UDOM). Nilichaguliwa chuoni hapa kusoma BACHELOR OF SCIENCE WITH EDUCATION bahati mbaya sikufanikiwa kupata...
Habari wanajamvi,rejea kichwa cha habari hapo juu.
Nimehamia maeneo ya Yombo buza ,hivyo nawatafutia watoto shule nzuri ya private ambayo ni English medium maeneo ya Buza na maeneo jirani.
Naomba...
Kwa matokea haya kidato cha nne mwaka jana aweza kusoma diploma ya pharmacy?Physics-D,Chemistry-D,Biology-C,Basic Mathematics-B plus,History/kiswahili-C,Geography/English/Civics-D
Katika maisha kila mmoja wetu lazima apitie changamoto tunasema kama haupo katika changamoto basi umetokea katika changamoto.Changamoto nishida au matatizo anayopitia mtu pindi anapokuwa anafanya...
Ndugu zangu wanaJF mimi sio mjuzi sana katika nyanja za elimu ila kuna mambo nime yasikia yamekua yakinichnganya saana. maswali makubwa niliyonayo ni pamoja na
1. NACTE kufuta baadhi ya kozi...
Mi nimiongoni mwa wanufaika wa mkopo ambao hivi sasa naulipa kupitia makato ya mshahara nimeenda ofisi ya bodi kuhakiki deni lililobaki naambiwa nitofauti nakias kinachosomeka kwenye salary sleep...
Habari wana jamvi.
Yoyote yule anaesoma au anaekifahamu vizuri hichi chuo kuhusu:-
1. Entry requirement kwa sisi wa Tz.
2. Malipo yake.
3. Mode of application kwa sisi wa Tz.
Maana nimeangalia...
Habari za mchana waungwana..
Kwa yeyote mwenye pdf ya kitabu chochote cha Walter Rodney naomba anisaidie, nina shida navyo sana.
Ahsanteni, muwe na siku njema.
Jaman najiona kama vile Nina bahati mbaya, hivi bodi hawakujua kuwa kuna wanafunzi wanaweza kucarry hata kwa bahati mbya , sasa wanategemea ntaishije..jaman mwenye uzoefu na hili anisaidie, Mimi...
Majina ya allocation tayari yalishawasili,ila shida ni kwenye signing sheets.Watu tunaishi kama mashetani mwezi wa pili unaenda kuisha,tutasomaje sasa huku tuna njaa
Afisa mikopo wa chuo anasema...
Habari zenu members wa jukwaa hili?,
Naomba kupata ufahamu kidogo kuhusiana na mambo kadhaa kwenye bodi hii ya wataalamu wa ugavi na manunuzi (PSPTB)
1. Mtu anaweza kujiunga na kufanya mitihani ya...
Habarini wakuu.....
What will be your answer ukiulizwa;
The most realistic sc. subject...
The most unique sc. subject....
The most difficult sc. subject....
The most precise and interesting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.