Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kinaitwa "Kwanini nifeli mitihani yangu? Najifunza hatua kwa hatua mbinu na mikakati ya kufaulu mitihani yangu,sina tena sababu ya kufeli mitihani yangu" KUHUSU KITABU Kufaulu mitihani...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Imekuwa utaratibu wa kawaida vijana darasa la saba kufanya mitihani ya kuchagua multiple choice Kwa maoni yangu hii moja kwa moja ni kuua elimu ya vijana kwetu Siku hizi vijana na waalimu...
0 Reactions
5 Replies
995 Views
Walimu muwe na staha basi juu ya maneno yenu mnayo yatamka pindi mnapo wafundisha wanafunzi huko madarasani! Leo nimepanda basi la kutoka Tandika kwenda Mbezi kuna watoto wa darasa la sita...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
jamani wana JF vyuo vya serikali ada zake ni shingapi.? Kwa upande wa diploma ya Afya
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Guys Samahanini ila nimejaribu kuingia katika tovuti ya Veta kuangalia majina ya waliochaguliwa kuanza mafunzo ila majina hayatokei naombeni msaada maana nina mdogo wangu anatakiwa kwenda kuanza...
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Wadau na wazoefu ktk uandishi wa vitabu mbalimbali Naomba kujua au kupata mwongozo wa kuandka kitabu A to Z (mwanzo had mwisho wa mchakato)........ Asanteni xanaaaa........
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Naomba mwenye link ya majina ya walopangiwa form one katika wilaya ya bumbuli mkoani tanga anisaidie
1 Reactions
10 Replies
2K Views
hivi bodi ya mikopo wana mpango gani kuhusu continous walioomba mkopo kwa mwaka huuu maaana hawaja toa batch ya continous mpaka sasa hali iliyopelekea wengine kushindwa kurudi vyuoni.....kwanni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nahitaji materials ya Literature in English O-level. Nimepangiwa kufundisha hilo somo ambalo limekuwa introduced for the first time hapa shuleni! Mwenye uzoefu yeyote anaeza nisaidia...
1 Reactions
51 Replies
16K Views
Habari za mida hii wanajukwaa....... Kama kichwa cha habari kinavojieleza naombeni mwenye majina waliochaguliwa kujiunga VETA nikiwa na maana wanaotakiwa kuripot 2019, Me tatizo linakuja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Topic nimesahau inaitwaje. Msaada wakuu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
hey guys kuna mdogo wangu yupo first year udsm anachukua science general (microbiology and botany)kazi zipo vipi apo
0 Reactions
4 Replies
860 Views
Habari wana JF. Naomba kwa wale ambao wamemalizia pugu boyz au minaki kwa miaka hii ya karibuni frm 2016 -..... Mnipe background ya hizo schools in terms of schoolo life daily routine to academic...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya mda huu wana jukwaa la elimu. Kama mada inavyo jieleza hapo juu, naomba kupata msaada wa soft copy ya vitabu vya GEOGRAPHY kwa a'level. Alseneta sir.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kuna hii kitu wanasema dunia ina mizunguko miwili 1.rotation[rotates on its own axis] 2.revolution[revolves around the earth via eliptical orbit] Sasa swali ni je mizunguko yote hiyo inatokea kwa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
lugha ya kiingereza ilisanifishwa mwaka gana na ni zip lahaja nyengine zilizokuwepo hoko uingereza
0 Reactions
3 Replies
916 Views
Jamani nauliza kuna jamaa yangu akusoma diploma akafanikiwa kujiunga Barchelor sasa yuko mwaka wa tatu ila chuo chake kilitoka kwenye orodha ya kusitishiwa udahili je anaweza kuathirika kwenye...
0 Reactions
2 Replies
906 Views
Wakuu. Kuna mtoto wa sister anasoma shule ya mbali na anapoishi (alipangiwa huko) sasa tunataka kumuamisha. Yaani kutoka shule ya serikali na kwenda shule ya serika. Mwenye uzoefu au msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu...nina mdogo wangu amemaliza chuo degree mwaka juzi na alipokuwa chuo alipata mkopo under HESLB Dogo alisoma course ambayo haina market nzuri ameona arudi achukue diploma kwenye...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wakuu natafuta mwalimu wa sekondari wa kubadilishana naye. Niko halmashauri ya Bagamoyo,hapa Mapinga,nataka kuhamia Moshi mjini. Tafadhali nipm km ni mhusika ai inamjua mtu anayetaka kutoka Moshi...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
Back
Top Bottom