Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nilishawahi kusema siku za nyuma kitendo cha mheshimiwa joyce ndalichako kuwa waziri kinanitia mashaka mbaya zaidi kwa wakati ule tuliwekewa na naibu wazir mh.stellah manyanya ambaye yeye...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye jina LA shule yeyote iliyopo ifakara au malinyi ,,aniambia nataka nitume maombi ya kazi
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Baraza la Mitihani NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (darasa la saba) ambapo matokeo yanaonyesha ongezeko la ufaulu kwa asilimia 4.96% tofaiti na ufaulu wa 2017...
8 Reactions
142 Replies
924K Views
Habari wakuu, mwenye uelewa na hizo program courses kwa pale UCC, ipi kati ya hizo ina fursa Kubwa ya kujiajil au hata kuajiliwa kwenye organizations . Karibuni.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanajukwaa kuna baadhi ya vyuo huchukua hata mwaka mmoja kutoa vyeti vya wahitimu wake na vingine kutoa within a week or soon after graduation nini hupelekea tofauti hizo,je hawaoni ni changamoto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za jion Wadau nina swal nahitaji kufaham, Hivi ikitokea mhitim kapata tangazo la kaz anahitaji kufanya application ya kaz na transcript hazijatoka.Je anauwezo wa kutumia provisional...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habar wana jf Nauliza kwa waliosoma udsm kuwa baada ya graduation, huwa inachukua mda gani kwa vyeti kuanza kutolewa. Asante
1 Reactions
27 Replies
11K Views
Wasalaam wakuu, Wale majamaa wanaokula asilimia mbili za Mshahara wanakutakia Kheri ya Christmas na Mwaka Mpya. Wanakuambia Solidarity Forever....... Neno Moja kwao
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam, Wakuu naenda moja kwa moja kwenye mada. Chuo kikuu mzumbe dar campus kusema kweli huwa hawajali mda wa wanafunzi kwenye utoaji wa matokeo ya research. Mwaka huu mwisho wa kukusanya...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
The chance is yours now, learn how to speak and write very well English to French, French to english or kiswahili to English or French to kiswahili. The teacher is available at any time and he can...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji link ya kuchek wanafunzi wa STD VII waliopangiwa shule
0 Reactions
0 Replies
665 Views
habari wakuu nina mdogo wangu anataka kurisit mtihani wa kidato cha nne natafuta pahara pa kumuweka naomba kama kuna mtu anafahamu shule inayopokea risiters anidokeze ni vizuri ikiwa mikoa ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam, Naomba mwenye navyo au mwenye namna anaweza kuvipata kwa haraka avitume hapa. Pia kama unaweza kunipatia link itakayonipeleka mahala nivipakue (Free) nitashukuru sana. Vitabu vyenyewe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Country: China 🎗️HOT OFFER 🎗️HOT OFFER 🎗️HOT OFFER [emoji309] *Unconditional fully funded scholarship (covering 🎗️ tuition [emoji766]accommodation ,international student health and writing...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu nahitaji kufahamu namna ya kudanlodi vitab ya vya fasihi teule(tamthilia riway na ushairi).
0 Reactions
0 Replies
2K Views
km kichwa habari hapo juu mwenye kujua
0 Reactions
2 Replies
2K Views
aisee wakubwa zangu natafta mdhamini au mtu mwenye kazi yoyote maana sina mkopo afu ada ni kubwa kiasi ata nikiacha chuo io ada staipata nipo Bachelor in shipping and logistic management pale Dar...
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Nilishawahi kusema siku za nyuma kitendo cha mheshimiwa joyce ndalichako kuwa waziri kinanitia mashaka mbaya zaidi kwa wakati ule tuliwekewa na naibu wazir mh.stellah manyanya ambaye yeye...
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Naomba kujua kama serikali imetanga majina ya waliochaguliwa kidato cha kwanza 2018
0 Reactions
27 Replies
12K Views
Mjadala kuhusu rangi za bendera ya Taifa la Tanzania ni mzito kuliko nilivyodhani. Nimepekua baadhi ya nyaraka za kimataifa na zenyewe zinakinzana. Bendera ya Tanzania ilizinduliwa rasmi Tarehe...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom