1.kwanini kwenye kukojoa (hususani wanaume) mara nyingine mkojo unaanza kutoka ukiwa katika njia mbili ghafla zinaunganika kuwa moja
2.kwanini ukiona mtu anakojoa au kupiga mwayo ghafla na wewe...
Ilijulikana mapema kuwa elimu bila malipo ingesababisha watoto wengi kwenda shule na hatimae kufaulu wengi kuliko kawaida. Nani hakuwa na uelewa wa aina hii?
Watendaji wanamuangusha mhe. Rais Kwa...
JE WAJUA?
Kumtumia binti Jumbe mara nyingi (mf. SMS) ukimlazimisha kua na wewe kimahusiano, au kusababisha maudhi ya hisia ni kosa kisheria.
Sheria ya makosa ya mtandao, 2015 kifungu no. 23...
Habari zenu wapendwa
Nimemakiza kidato cha sita mwaka 2016 nlipata daraja la 3.13 ambayo ni Biology E, Geography D na Chemistry D nahitaji nkasome diploma ya kilimo
Wapi naweza kupata chuo na...
Wakuu habari za majukumu.
Kama kichwa kinavyoeleza, ninaomba kupatiwa ufafanuzi wowte kuhusu masomo ya Diplomat
Vyuo vinavtotoa kozi hiyo, na sifa za anayehitaji kusoma.
Naomba mnipe mchango...
Karibuni kwa sherehe au kujipanga kumalizia palipobakia, NBAA hawapoi hawaboi Examination Results |BODI YA TAIFA YA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA (NBAA)
Nenda website yao kwa upya...
mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha nne,nilikuwa naomba kaka na dada zangu walionitangulia kupita kidato cha tano kunisaidia kunujulisha topic za phys form v
Habari za Saa hii wakuu mimi ni mtanzania halisi kabisa.
Siku ya Jana kuamkia Leo mnamo saa nane usiku nimewaza sana kuhusu maisha yangu na muelekeo wangu wakati huo nikiendelea kufikiri maisha...
SIMULIZI;UCHAWI WA MAMA.
MTUNZI;RAJA SAIDY.
WHATSAPP;0756920739.
SEHEMU YA KWANZA
"Dada amka tusali amka dada"
"Nina usingizi mdogo wangu"
"Lakini dada sio vizuri kulala bila kusali"
"Mdogo...
Usitafsiri neno hilo kutoka kiswahili kwenda Kiingereza au kilatino, au usiingie google translate itakupa neno la kupotosha, watu huwa wanarudishwa rumande pindi wanakosa dhamana mahakamani sasa...
Source: Walimu wawili mbaroni tuhuma kupiga mwanafunzi hadi kuzirai
Yaani siku miungu watu wa namna hii wanaofanya mambo ya namna hii wakaja wakaingia kwenye target yangu,...........
Ndugu zangu kuna mdogo wangu anatesekq sana yaaan alimaliza 2017 cheti kapata mwaka huu Lakin akifuatilia transcript wizarani eti a naambiwa chuo Chao hakijatuma matokeo seriously???? Chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.