Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nina mdogo wangu alichaguliwa chuo Fulani degree na mkopo alipata, kutokana na Ada ya chuo kuwa kubwa na pia kozi hakuipenda aliamua kwenda kusoma nursing chuo cha serikali ngazi ya certificate na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, ninajickia hamu ya kuingia veta kusomea fani ya umeme Wa magari kwa short course lakin, mwenye uzoefu na fani hii anisaidie kunipa dondoo muhimu, kozi ya muda mfupi inachukua muda gani...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Kwa miaka yote nilioishi Tanzania sikuwahi kujua kuwa wale wanafunzi wanaomaliza darasa la saba shule za English Medium kumbe nao wanapangiwa hizi shule za kata (za wananchi). Leo, ndio nimejua...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka 2018 zina patikana ktk websites za wilaya mbalimbali na katika mbao za matangazo katika wilaya hizo hapa chini ni baadhi ya wilaya...
3 Reactions
52 Replies
79K Views
Naomba msaada wenu wadau! Ni center ipi nzur kwa Review classes za CPA dar es salaam!??
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habarini! Kwa wale wanaojua zaidi kuhusu hiki chuo naomba wareply niwatafute. Namaanisha kwa wale wanaokijua vyema na maybe waliwahi kusoma. Asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu katika imani, nimetoka tena isipokuwa mara hii nimekuja kivingine . Lengo kubwa la mada hii ni kutoa ushauri kwa nia njema tu kwa dini ambazo bado zinaamini kuwa mfumo kale ndio...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Wasalam wana jukwaa! Kwanza kabisa Namshukur Mungu kwa uhai. Tangu nijiunge Jamii Forum yapita miaka kadhaa sasa, na nimekuwa nikijifunza mengi kutoka kwa watu wenye uelewa wa mambo katika...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani naandika Uzi huu nikiwa sina kinyongo chochote ila nikihitaji kujua zaidi. Nini umuhimu Wa police na bunduki kwenye vituo vya kufanyia mitihani drs LA saba ,form four, na six necta?? Kuna...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Natafuta mkufunzi anifundishe kijerumani,nitamlipa aina shida
1 Reactions
77 Replies
38K Views
Wana forum Naomba kwa wale wenye kufahamu tofauti iliyopo hapo watufahamishe I.e kuna tofauti ipi kati ya mtu ANAESOMA bachelor of science in Mechanical engineering na mtu ANAESOMA bachelor of...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Nimeuliza hivi kwa sababu chuoni kuna fomu ambazo hao viongozi wa institute of engineering wanagawa na unalipia tsh 5000 kwa ajili ya cheti bila mafunzo wala bila kufanya kitu chochote. Nilipo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Changamoto ya kila moja katika usomaji. Ipi ni kozi bora kati ya hizo kwenye soko la ajira (kujiajiri au kuajiriwa). Na pia yenye uwezo wa kuingiza pesa zaidi na kukupa muda wa kufanya mambo...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Wale wa Mzumbe Sec Advance 2004 - 2006 wanamkumbuka Vizuri. RIP Mkongwe Ngaiza Soma zaidi >>>>>>>Ngaiza asante kwa kuandaa vitabu
1 Reactions
31 Replies
12K Views
Kam Uzi unvocem mwenyew kujua anijuze!!!!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wadau..Natumaini mko salama. Nina shida ya Academic prospectus ya chuo cha State University of Zanzibar ya mwaka 2018/2019 AU 2017/2018..Nimejarbu kutafuta online nimekosa zaidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kwa anaye jua ni lini mkopo huwa unafika chuo kwa mtu ambaye mkopo wake umeenda chuo kingine maana uku maisha ni utata chuo pasi ndefu itaniua
0 Reactions
10 Replies
2K Views
vijana kama kuna mtu anandoto siku moja aje kuwa rais wa nchi hii basi usisome vyuo vya binafsi hasa vilivyo ndani ya nchi.kama ukisoma urais wa nchi hii sahau kabisa hakuna chuo cha binafsi...
0 Reactions
103 Replies
10K Views
Wana Jf habar zenu naomba msaada wa kituo cha tuition kwa maeneo ya mbuyuni-bunju hii ni kwaajili ya mdg wangu anaingia form3 mwakani,kushinda home tu naona ankuw zobaa msaada jmn!!!! Sent from...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MSHINDI WA Bongo Star Search, BBS 2018 Mshindi wa bongo Star search 2018 amepatikana. Mshindi ni mwanamke jina. SARAPHINE MICHAEL mwanafunzi wa BSC PETROLEUM CHEMISTRY, UDSM, ndie ameondoka na...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom