Habari.
Tukiwa tumebakisha masaa tu kuuaga mwaka, Tumshukuru sana Mungu huku tukiomba mwaka ujao 2018 uje na baraka zake.
Moja ya makusudio yangu kwa mwaka ujao ni kujifunza lugha ya Kifaransa...
Habari wapendwa wa maeneo haya,mimi ni kijana ambaye nimemaliza kidato cha nne na nipo na division four(4) ya 32.Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2015 naitaji maelezo kuhusu kupata course ya Tours...
Wanafunzi wote mliosoma shule ya msingi mlimani kwa kipindi chochote miaka ilipita tunaomba uje katika mkutano jumapili tar 18/08/2013 ,saa 9 pale brajeck karibu na survey na mlimani city,njoo...
kuna maswali nimejiuliza sana. wanasema syllabus ya mashule kuanzia primary hadi chuo kikuu wanataka kitumike kiswahili. kichwani kwangu nimejiuliza maswali mengi sana.
1. Pale chuo kikuu...
Kwanza kabisa kabla sijaendelea na penda kusema asante kwa wale wote walio ni sahau mimi ni yule mwanafunzi niliyepata 1 ya 7 na nikakosa chuo hadi hawamu ya 3 ndipo nikaja hapa kuomba ushauli na...
True Ink Associates would like to Announce that the CISA (Certified Information Systems Auditor) Review Classes is scheduled to commence on Monday 15/10/2018, Dar Es Salaam City Center, Golden...
Za muda waungwana?
Niliwahi kuona rasimu fulani ilitolewa na TSC miaka kama miwili iliyopita.
Katika ile rasimu, ilionesha kuugawa Utumishi wa mwalimu katika makundi matatu.
Nilioona INA mashiko...
Habari humu!! Hi post pia nimeiwekena kule kwenye jukwaa la technology sababu pia inahusu masula ya technology.
Ningependa kuanza moja kwa moja kwamba nimetengeneza app hii kwa ajil ya kumsaidia...
Helo guys
Kwa waliosoma majengo enzi hizo mtakumbuka kuwa akina Sabas oisso (mwanafunzi wa majengo sec aliekuwa wa 8 kitaifa) na Laurent shillingi (mwanafunzi wa majengo sec (moshi) ambae tangu...
Wakuu, habari za muda huu na heri ya mwaka mpya 2019.
Moja kwa moja tujikite katika mada hii kama inavyosema hapo juu.
Masomo tajwa hapo juu ni moja ya masomo yenye ukakasi katika ufaulu...
Wakuu kuna mdau namfahamu anadai refund HELSB ..alikatwa zaidi ya alichokopeshwa na HELSB walifanya hesabu na kujua kweli wali overdeduct sasa zaidi ya miaka mitatu refund haijalipwa.
Najua...
Jaman naomba mnijuze tena, mimi ni mwanachuo mwaka wa 2, mpaka Sasa sijasaini hela ya kujikimu (boom) so katika ufatiliaji Kwa loan officer pamoja na waziri wake, wakasema allocation zimekuja Kwa...
Habarini sa asubuhi ndugu zanguni. Heri ya Christmas na mwaka mpya.
Ndugu zanguni, naombeni msaada wenu, mwanangu kachaguliwa kujiunga na shule ya sekondari Kazima-Tabora, lakini sijapata Joining...
Wakuu nimelikumbuka sana hili shairi lililoandikwa na Marjolie Oludhe;
Atieno washes dishes,
Atieno plucks the chicken,
Atieno gets up early,
Beds her sacks down in the kitchen,
Atieno eight...
Ninamdogo wangu maendeleo yake kimasomo ni mazuri mana form 2 ,alipata alama A katika masomo yake yote, sasa anaingia Form 4.
Achague comb gani itakayo mpa nafasi ya kusoma coz ambayo zinasoko...
Habari ndugu natafta scheme of work ya commerce nimegoogle nimekosa kama kuna mtu anafahamu nitapta wapi tafadhali naomba mnisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za asubuhi wanajukwaa, kwa sasa vijana wengi wamekuwa wafikiria kujiajiri baada ya kumaliza chuo badala ya fikra ya kizamani ya kufikiria kuajiriwa baada ya kumaliza chuo hii imepelekia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.