Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa wale wanaofuatlilia usajili wa wanafunzi wa kidato cha Kwanza wataona idadi ni kubwa hivyo basi Kuna uhusiano wa 1kwa1 uhitaji wa walimu wa masomo yote.. Nimepita mtaani watu wanaongelea Sana...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Jamani habari ya jioni ... Kwa walimu wote hii inawahusu.... Tunatoa huduma ya kitaaluma kama ifuatavyo... Tunayo system inayo iwezesha shule kitoa matokeo na ripoti kwa wazazi kwa wakati ...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba msaada wanajanvi kujua orodha ya vyuo vya kilimo Tanzania, niweze kukimbizana daedline... kuna ndugu ya yupo kijijin sana nataka nimsaidie kwa hili, maana amekosa nafasi SUA na UDSM shukran
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hisia katika ununuzi wa ndege zimetofautiana. Binafsi niko neutral ni jambo jema kalifanya na la kizalendo (Kwa mjibu wa vipaumbele vya serikali iliyopo). Hii binafsi niipongeze serikali. Sasa...
1 Reactions
3 Replies
750 Views
Habari za muda huu wanajukwaa? Moja kwa moja kwenye mada:- Nina rafiki yangu yeye ni mtumishi wa umma ana mpango wa kuandika tangazo la kutafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi wilaya...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
*Think like you have no Degree Otherwise You Will Die Poor* 🎓🎓 ©By: Allan Ahimbisibwe (Plant Dr) Founder/CEO Spark Agron -Initiatives ltd Former Statistician now an agronomist and proud Farmer...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu salama? Katika kuhangaika hapa na pale nimekutana na kikwazo cha kuwa na matokeo ya IELTS au TOEFL. Sijawahi kuona pepa za mitihani ya aina hiyo hata siku moja, nimeangalia yutyubu lakini...
1 Reactions
41 Replies
10K Views
Kwa wale waliotazama movie ya Troy watakuwa wanamtambua Achilles. Huyu alikuwa mpiganaji mzuri sana kwenye historia ya wagiriki lakini nilipojaribu kusoma mtandaoni nilikuta maelezo kuwa mtu huyu...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari wana JF Naomba kufahamishwa kuna awamu ngapi za mtihani wa leseni pharm tech unaotolewa wa baraza la pharmacy Na pia intake inayofuata ni tarehe ngapi kwa mwaka huu 2019? Asante kwa...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa,naomba msaada wa kupata syllabus ya zamani kabla ya hii 2016,asante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
949 Views
Habari za muda huu wakuu! Nafanya all kinds of data activities including Data analysis for both qualitative and quantitative data using SPSS and Excel kwa ubora na kiwango cha hali ya juu. Pia kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Muonekano wa KITM. Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) kilichopo katika jengo la Mama Ngoma, Mwenge na Afrikasana, Sinza jijini Dar es Salaam, kimeendelea kutoa...
2 Reactions
15 Replies
12K Views
Wakuu natafuta shule ya Private Dar ya boarding, ya bweni . Kama ipo karibu na Dar au Pwani itakua poa. Mtoto ni wa kike amemaliza la saba mwaka jana na amefaulu. Nataka nimpeleke private Sent...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamvi Mimi ni miongoni mwa wahitimu wa chuo kikuu mwaka huu katika fani ya elimu wa masomo Economics na Geography.na form six nilisoma kombi ya HGE yaani History,Geography na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Salam wanajamvi. Mi ni muhitim wa kidato cha sita mwaka huu. Nimepangiwa jkt MGAMBO TANGA. Nafikiria kutoenda coz Kuna ishu nafanya inayonipatia kipato kinachoniwezesha kuisaidia familia Yangu...
0 Reactions
54 Replies
17K Views
Wakuu, Kama heading inavyojieleza, Naomba kujua daycare nzuri Kigamboni- DSM na bei ziwe affordable.
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Anayeifahamu Marian Boys, tafadhali niambie ada yao kwa A-Level na vigezo vya kuingia hapo
0 Reactions
11 Replies
19K Views
Habat wana jf. Nimearisha masomo udsm coz sijapata mkopo hivyo Niko kitaa nifanye issue gani iliniweze kuendesha life LA mtaani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
786 Views
Mimi nimeshaanza tayari kufuatilia vitabu hivi: 1.Moby Dick, by Herman Melville 2.Only the Paranoid Survive, by Andrew S. Grove 3.The Innovator's Dilemma, by Clayton Christensen 4.The Tao of...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom